ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hakuna, ndio maana nasema hakuna formula mkuu. Anayeona ndoa sio fungu lake anakaa pembeni tu asitujazie nzi tulioamua kuendeleza vizazi na karne.Kwani kuna anaejua hatimae ya mapenzi kua inaishia kwenye ndoa