Hakuna, ndio maana nasema hakuna formula mkuu. Anayeona ndoa sio fungu lake anakaa pembeni tu asitujazie nzi tulioamua kuendeleza vizazi na karne.Kwani kuna anaejua hatimae ya mapenzi kua inaishia kwenye ndoa
Hao ni wajinga.. oa mwanamke ambaye mnaweza mkakaa mkaongea mkaulizana maswali, na kupanga malengo na wewe.Ukichemka anakukosoa kwa heshima.Hizi challenge ni zipi maana walio wengi ata ukiwa nae ktk mahusiano basi hua mabubu kila kitu hukufanya hawajui
Hamna ase wanawake wa kipare wamezidiWacha kutukosea mkuu, sisi ni watu bora kabisa, tunajali familia zetu na madhaifu ni kwa kila binadamu.
Sasa mtu anapata wapi ujasiri wakuanza kumasisha watu wazima kataa ndoa ni utapeli ihali anaakili timamu muhusikaHakuna, ndio maana nasema hakuna formula mkuu. Anayeona ndoa sio fungu lake anakaa pembeni tu asituhazie nzi tuliamua kuendeleza vizazi na karne.
Haya.Sio kweli
Afadhali unajua
Lo toa neno pullliiizzzzzzzzzzzzzzz au Hayanaga mwongozo !
Hujaulizwa shangaziNimegundua siku hizi hakuna wanaume kuna wavulana kama makundi yote hayo wanaume hawawezi kuoa ,dunia imekwisha tuna version ya wanaume wavulana na mwishoni watatoweka.
Halooo, nimekumbukwa 😅Kuna siku moja Mademoiselle alisema alikutana au kuchat na mtu ambaye ni kataa ndoa kindaki ndaki kwa maneno hapa jukwaani lkn kiuhalisia ana familia yake
Kwahiyo nyie fuateni mkumbo kibwege wkt wenzenu wanafamilia zao
Harikaaaa9. MPARE
Mbona unaenda mbali hivyo?Bill Gates ndoa ilimshinda pamoja na mipesa yake yote chungu nzima
!Nonesense. Unaoaje mwanamke ambaye hajasoma?
ILA KAMA UNA AKILI NDIYO USIWAEPUKE? JIBU NI NDIYO... ILA BWANA BWANA BWANA... NA AKILI ZAKO MWANAMKE ANAWEZA KUKUKALISHAMwanaume kama hauna akili basi epuka mwanamke kabisa.
Sasa nesi si ndo ukipata presha anakuokoa usife, au?1. Mrembo sana
2. Msanii (wa filamu, muziki)
3. Askari
4. Baa medi/hotelia
5. Mlokole
6. Nesi / Daktari
7. Msomi (Hasa ngazi ya chuo kikuu)
8. Mwanamke kutokea familia ya kishuaView attachment 3039279
NB. Picha haihusiani na mada