Wanawake wa lipa shika tuondoke ndio mnataka tuoe sio?

Wanawake wa lipa shika tuondoke ndio mnataka tuoe sio?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wanawake mchawi wenu Ni wanawake wenzenu

Mnalalamika hamuolewi wakati wenzenu wanagawa Bei sawa na bure

Kiufupi Maisha yamekuwa Magumu Sana kwa kila Mtu so watu wanatafta unafuu ulipo

Mnabidi jinsi mlivyo anzisha kampeni yenu ya feminist ndo mpambane kuwazuia wanawake wenzenu wanaogawa uchi Bei sawa na bure hasa wake za watu.
 
Wanawake mchawi wenu Ni wanawake wenzenu

Mnalalamika hamuolewi wakati wenzenu wanagawa Bei sawa na bure

Kiufupi Maisha yamekuwa Magumu Sana kwa kila Mtu so watu wanatafta unafuu ulipo

Mnabidi jinsi mlivyo anzisha kampeni yenu ya feminist ndo mpambane kuwazuia wanawake wenzenu wanaogawa uchi Bei sawa na bure hasa wake za watu.
🚮
 
Aisee Nimezaliwa peke yangu
nitakufa peke yangu,
I can only control myself and the little I have in my sphere of influence eg. My children,
ambao hata wenyewe I do not have control over forever,
by 20 hao I let them go.

So we ugawe kama njugu,
Ukitembeze kama Vasco da gama border to border,
Uoe usioe uolewe usiolewe,

Me I'll just be an observer at a distance,

away from the chaos and filth..
 
Aisee Nimezaliwa peke yangu
nitakufa peke yangu,
I can only control myself and the little I have in my sphere of influence eg. My children,
ambao hata wenyewe I do not have control over forever,
by 20 hao I let them go.

So we ugawe kama njugu,
Ukitembeze kama Vasco da gama border to border,
Uoe usioe uolewe usiolewe,

Me I'll just be an observer at a distance,

away from the chaos and filth..
Ndo utuwekee mirangi ya ajabu n'a mivingereza?? Kayumba tunannyanyaswa sana ,hapa suluhisho ni katiba mpya tu
 
Back
Top Bottom