Wanawake wa mikoa ya kaskazini wanavyojichotea mabilioni kutokana na kuolewa na wanaume wa mkoa wa Mara

Wanawake wa mikoa ya kaskazini wanavyojichotea mabilioni kutokana na kuolewa na wanaume wa mkoa wa Mara

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wanaume wa Mkoa wa Mara wana addiction moja, kuoa kilimanjaro. Wengi wakishaoa huko, huwekeza fedha zao zote ukweni, wakiacha Mkoa na maeneo walikozaliwa yakiwa hoi. Kaskazini kama kawaida, inabeba watoto wote waliosomeshwa vizuri na kuondoka nao baada ya talaka au kifo. Vitu hivyo hutokea baada ya mali kuwa nyingi.

Kwa aibu ya kutapeliwa, na ndugu na makazi yao huko mikoani kuonekana choka mbaya,watu wa Mkoa wa Mara hukwepa kupeleka misiba kwao. Huamua kubanana makaburi ya mjini japo kwao wazazi wao wameacha maeneo ya kuzikiwa.

Ni aibu iliyoje
 
sema ukweli wakurya hawajengi kwao, zingatia hilo, na hao wachaga wanajilepeka kwa wakurya au ni wakurya na upwiru wao wanajichanganya? lakini tukirudi kwenye uhalisia wanawke wa kikurya wana sura ngumu
 
Sio Mara tu,wanaume wengi wa kanda ya ziwa wanapenda rangi nyeupe.So wachaga,warangi,wanyeramba,wairaq wote wamo.kuhusu kuvuna mabilion huo ni mfumo wa duniani kote,ukioa mwanamke ukawa bilionea lazima avune.
 
Wanaume wa Mkoa wa Mara wana addiction moja, kuoa kilimanjaro. Wengi wakishaoa huko, huwekeza fedha zao zote ukweni, wakiacha Mkoa na maeneo walikozaliwa yakiwa hoi. Kaskazini kama kawaida, inabeba watoto wote waliosomeshwa vizuri na kuondoka nao baada ya talaka au kifo. Vitu hivyo hutokea baada ya mali kuwa nyingi.

Kwa aibu ya kutapeliwa, na ndugu na makazi yao huko mikoani kuonekana choka mbaya,watu wa Mkoa wa Mara hukwepa kupeleka misiba kwao. Huamua kubanana makaburi ya mjini japo kwao wazazi wao wameacha maeneo ya kuzikiwa.

Ni aibu iliyoje
Timing ya mada hii inatia mashaka sana na kile kinachoendelea hivi sasa
 
wakurya ni mafala sana
Ni aibu huwa hawakumbuki kabisa kujenga kwao, unaweza kukuta yuko dar es salaam anamali nyingi kula Bata cheo kikubwa.
Ila ukifika kwao utalia machozi
 
Ni aibu huwa hawakumbuki kabisa kujenga kwao, unaweza kukuta yuko dar es salaam anamali nyingi kula Bata cheo kikubwa.
Ila ukifika kwao utalia machozi
nina rafiki yangu nafanya nae kazi kuna siku tulikwena kwenye msiba kwao pale Musoma mjini hadi aibu. Nyumba ya urithi kashindwa hata kuikarabati
 
Umeona wivu wanawake wa kaskazini kuolewa mara ? Na wewe nenda kaolewe huko uvishwe dera/la
 
Back
Top Bottom