Wanawake wa mjini wanashangaa baadhi ya wanaume wenye magari kuwa na maisha ya kuungaunga!

Wanawake wa mjini wanashangaa baadhi ya wanaume wenye magari kuwa na maisha ya kuungaunga!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huyu bi dada anasema wanaume wenye magari huonekana kuwa na uwezo mzuri wa kiuchumi lakini mambo huwa tofauti mtu anapoingia katika mapenzi

Screenshot_20240729-172512_X.jpg
 
Hivi ujiegeshe kwa mumewangu eti kisa ana gari nzuri udhani utapata chochote?
Yeye kila sent yake ipo kwenye mipango ukitaka akuhonge utachoka sana,akijitahidi 20K na hapo umelia shida zote mpaka umeua ndugu.
Ila kwa familia yake hela anatoa tu bila hata kuambiwa.
Pole sana wadangaji
 
Ajiulize tunamudu vipi haya mandinga atagundua bado hatujashawishika kununua penzi
 
Na wanawake na magari utawala wote

Kuja kushituka unakuta kaingia kwenye 18 za alwatan flani hivi mbaya zaidi hawajifunzi kesho tena anamkubali mwenye gari mwingine safari hii na mimba anabeba!
 
Back
Top Bottom