Wanawake wa mtandaoni mnaotutapeli bila kutupa tukitakacho mnatuumiza sana

imadeyouwet

Member
Joined
Mar 6, 2018
Posts
7
Reaction score
5
Kumekua na tabia ya wanawake wanakufata inbox wanakutamanisha kwa meseji tamu sana na hata kama hukua na mpango wa kununua show basi unajikuta unashawishika. Anakupa list of services na zote huwa zinaridhisha na bei hua mwanana kabisa.

Ukishaukubali mzigo sasa ukataka uje ulipo utakuambia tuma nauli, akikuambia njoo ukifika nitalipa unalalama eti unaweza fika alafu kidume usipokee simu, ukimwambia basi naja mimi kukufata anakuambia huku nyumbani sitakiwi kuonekana na mwanaume kabisa. Baba sijui ni shekhe wa wapi huko.

Ukimtumia hela basi zimekwenda na mto uliojaa mafuriko. Huo ndo utakua mwisho wa mwanamke huyo kuwasiliana na wewe. Ina uma sana jamani ukiahidi huduma toa huduma.
 
Muulizw upo wap?akisema kimara muulize tena karib na sehem gan maaruf akikutajia tu mwambie mbona mm nipo hapa hapa tu,njoo we hata kaka upo kndon utasikia anasingizia kwngine bas ujue unaliwa hapo
 
Utaibiwaje kizembe namna hiyo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…