MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
- #21
Hahahahaahaha,Macho huudanganya moyo kama ubongo utasahau majukumu yake!!!....
Vijana na mawazo ya weekend
Mkuu habari yako bwana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaahaha,Macho huudanganya moyo kama ubongo utasahau majukumu yake!!!....
Vijana na mawazo ya weekend
Wako kiasilia, kitu ambacho binadamu wengi hatuna siku hizi...Mkuu, ebu kwanza naomba uniambie nini unacho kiona ambacho mwanamke mwingine hatokua nacho, kama ataamua kujipenda.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani alafu kuku alikua na wiki tu katotoa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kweli huyo ulimpenda
Shida siyo kuvaa extensions, shida ni kwamba wengi hawapendi rangi zao na nywele zao za asili.Ama kwa hakika wanavutia kwelii,.nimejikuta na mimi naimiss my short-yaya style..ngoja mwaka huu upite,..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mapenzi upofu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani alafu kuku alikua na wiki tu katotoa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ni uchizi na alafu akili uja badae[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mapenzi upofu
Huyu hapana aisee! Ka jini au zombie!
unajua kipara huwa kinakutoa bomba sanaAma kwa hakika wanavutia kwelii,.nimejikuta na mimi naimiss my short-yaya style..ngoja mwaka huu upite,..
Salama nduguHahahahaahaha,
Mkuu habari yako bwana!
Kwelii?!!unajua kipara huwa kinakutoa bomba sana
Huwa unanimaliza kabisa😉Kwelii?!!
Sijui kwakweli shida iko wapi,japo kila mtu na lifestyle yake..tho' Mimi huwa napenda kubadilika badilika(nywele)sipendi kuwa na fashion moja kwa zaidi ya miaka miwili...Shida siyo kuvaa extensions, shida ni kwamba wengi hawapendi rangi zao na nywele zao za asili.
Tatizo liko wapi hapa ?? Mbona unaweza kutengeneza nywele zako na ukawa bado mzuri ??
Oh yeah[emoji4]Huwa unanimaliza kabisa😉