Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
imani yangu siku moja utarudia ka-styleOh yeah[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imani yangu siku moja utarudia ka-styleOh yeah[emoji4]
Mwakani tuu...narudia upara wangu matata, we mwenyewe utafurahia...[emoji6]imani yangu siku moja utarudia ka-style
hapo ndio nakupendeaMwakani tuu...narudia upara wangu matata, we mwenyewe utafurahia...[emoji6]
Muah[emoji7]hapo ndio nakupendea
Kwa maelezo yako WEUPE=UZURI?Wako kiasilia, kitu ambacho binadamu wengi hatuna siku hizi...
Wangapi wanahangaika na mikorogo na kuharibu ngozi zao kutafuta uzuri ??
naungamkono hoja mm nawapenda sana wanawake simple hafua wawe Na rasta Na sauti kama ya gigy money au Scarlet Johnson au halima mdee.
Aisee!.. kweli duniani wawili wawili... Mac hawa unawapata majina yao!?..Nayaomba.
Hapana, uasilia ndiyo Uzuri.Kwa maelezo yako WEUPE=UZURI?
True!Hapana, uasilia ndiyo Uzuri.
Mungu hakukusoa kabisa kuumba watu weupe na weusi.
Kila jamii ina uzuri wake ambao Mungu aliipa, sasa tatizo dada zetu wengu hawapendi rangi zao.
Mkuu maneno hayo bwana,Lupita nikimuona huwa NADINDA. Sijawahi kuelewa anachokiongea kwenye muvi zake kwasababu huwa simsikilizi nabaki namshangaa tu
Hivyo wanawake weupe wanaonekana wazuri kwasababu wamejikubali walivyo lakini sisi weusi tumeacha ya kwetu na tumeamua kuwaiga wao, kitu ambacho hakiwezekani kabisa. Mtu anafanya upasuaji wa kuchonga pua, mara ajikwarue rangi. Tatizo ni nini ati ??True!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wapate na maumbo ya kisukuma sasa ni balaa, yakiwa ya kichagga au kinyaki muhimu Upendo tu!..