Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

huu uzi utapata like nyingi za kuupongeza kutoka kwa wanaume wengi bahiri;watoto wengi wanazaliwa na vipara wewe unafikiri huko mbeleni utapata warembo natural;maisha yanabadilika kulingana na wakati ;chakula cha kwenye oven ;dawa za kuzuia mimba kwa mtoto wa darasa la 3 ;bado una ndoto ya kupata warembo natural;tuishi kulingana na mda;ni watu wachache sana wanaoishi kwa inside yao ,wengi wanaiga kile kinachofanywa na wengi.
 
huu uzi utapata like nyingi za kuupongeza kutoka kwa wanaume wengi bahiri;watoto wengi wanazaliwa na vipara wewe unafikiri huko mbeleni utapata warembo natural;maisha yanabadilika kulingana na wakati ;chakula cha kwenye oven ;dawa za kuzuia mimba kwa mtoto wa darasa la 3 ;bado una ndoto ya kupata warembo natural;tuishi kulingana na mda;ni watu wachache sana wanaoishi kwa inside yao ,wengi wanaiga kile kinachofanywa na wengi.
Mkuu mimi nikitakie kila kheri katika kufuata upepo wa muda.
 
Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi,
Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba.
Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...
Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....

View attachment 860406View attachment 860410View attachment 860411View attachment 860440View attachment 860481
Mimi nawapenda wale weusi wenye macho makubwa ya duara. Dah hunikosha sana.
 
Mimi nawapenda wale weusi wenye macho makubwa ya duara. Dah hunikosha sana.
3753472255_0a087d1ec4_o.jpg
 
Sema type hiii kwenye issue ya familia ni 0
 
safi sema mtandao hadi nipande juu ya mti ndio naingia jf. ndio ukaamua uondoka kimya kimya kisa kukushikisha jembe😉
[emoji23][emoji23][emoji23]hukuona kama kucha yangu ilikatika?
Hata hivyo mimi na jembe hatupatani au umesahau?

Nafurahi kukuona kipenzi
 
Watu wabaopenda kuku wa kienyeji utawaona tu. Shida yao kuwakimbiza mpaka uwapate? na wakiwa na vifaanga walivyo wakali. ila uzuri wake chakula wanafuta wenyewe.
 
Back
Top Bottom