Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
eti uongo mami!?..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti uongo mami!?..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko sahihi kabisaeti uongo mami!?..
Khaaaa!?[emoji134][emoji134][emoji134]Huwa unanimaliza kabisa😉
Amina!...Uko sahihi kabisa
yelewi leo ni leo😉😉 NimekuhamKhaaaa!?[emoji134][emoji134][emoji134]
Upige picha nikuone na kukupa marksSisi wenye kipilipili cha kizigua ujasiri huo bado. Ngoja nikaweke rough dread nione ntakuaje na kakichwa kangu kama tumba ya ubuyu
Nitafanya hivyoUpige picha nikuone na kukupa marks
NasubiriNitafanya hivyo
Mie pia.yelewi leo ni leo😉😉 Nimekuham
Sisi wenye kipilipili cha kizigua ujasiri huo bado. Ngoja nikaweke rough dread nione ntakuaje na kakichwa kangu kama tumba ya ubuyu
Ntakupa bro, soonAisee!.. kweli duniani wawili wawili... Mac hawa unawapata majina yao!?..Nayaomba.
Bahati mbaya sana hapa hatuongelei wingi wa watu na uaminifu.Dunia ina watu wengi sana,kupenda na kutulia ni utashi wa mtu.
Namshukuru Mungu kwa uzima mkuu.Salama ndugu
Habari ya weekend
Sawa ndugu yanguNamshukuru Mungu kwa uzima mkuu.
Kazi ya make up ni Enhancement of Beauty hivyo siyo mbaya kabisa.Nimejaribu kusoma post yako nara mbili ili nielewe kinachokuvutia hapo ni nini? Labda staili ya nywele au?? Sijaelewa yaani. Maana sioni asili yao ipo kwenye nini. Kama ni Make up wamepaka kama yote. Nywele zenyewe ukiangalia vizuri siyi asili kwa tafsiri ya asili ilivyo.