Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya vijijini tumefanyaje mkuu? Mbona huku tuna afya njema kabisa hakuna issues za utapiamlo na tunazaliana kawaida sana.mdukuzi ukipata nafasi jongea mbeya vijijini ili utengue kauli kuhusu watu wa Simiyu
Huku mtoto wa miaka 16 keshazaa,yani binti ya miaka 22 kumkuta na watoto wataru kawaida...Nilitembelea mji mdogo wa Isaka, pale kila mwanamme kama hanyonyeshi basi ana mimba. Serikali hauoni kuwa hili ni tatizo la kiuchumi na mambo ya nyota ya kijani, UMATI nk yamebaki kwenye makaratasi na kulipana mishahara tu
Kwani walikuja kukuomba pesa ya unga?Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Kwani washawahi kukufuata kukuomba chakula?Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
FactTatizo lenu nyiny wabara mnaogopa kuzaa.
Mnaogopa kuzaa kwasababu kwanza wadada wenu wanapenda uzuri mpk wamepitiliza, wanaona wakizaa watakongoroka. Watazeeka. Wanaona watakufa mapema.
kwann bado unahisi watoto wengi ni tatizo au umemezeshwa???Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Duuuuuh,wapewe tu elimu ya uzazi watakuwa saw kweli hayo ni mateso unaleaje watoto wote hao alafu wote wadogo.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili