Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Hii dunia inaharibiwa sana na ninyi mnaojiita wasomi, haya maisha mumeyakuta hivyo kusoma kwenu kusituletee kero huku mitaani, kwa mwanamke anayejitambua hupigania sana kuzaa mara tu baada ya kuolewa kwani aliolewa ili azae, linapokuja la azae wangapi hilo siyo lake bali ni mipango ya mungu, hebu fikiria wewe mtoto wa 6 kwenu, kama wazazi wako wangeliamua kufunga uzazi ungelikuwepo? Ugumu wa maisha hata ukiwa na mtoto mmoja anaweza kukushinda kumtunza, kila mmoja anaishi kwa uwezo wa Mungu acha ushamba wa kujiona umesoma kumbe hauna chochote unachokijuwa ktk hii dunia
 
China pekee ina 1.3 bilioni ndiyo nchi inayokuwa kwa kasi kiuchumi kutokana na ukuwaji wa soko/watu.

Nyie hao wazungu mwaka 1974 England walikuwa zaidi ya miaka 80 leo Tanzania mupo 60 mil mnajiona mpo wengi.

Mmetawaliwa na wazungu
China inakabiliwa na tatizo la kutokuzaa sana, Serikali hadi ikaamua kufuta sheria ya ukomo wa mtoto 1 ila pamoja na hayo hakuna kilichotokea
 
Point yako ni nini ? Kama ungetumia akili hata usingeandika ulichoandika. Ovu linalofanyika katik watu wachache ni rahis kuonekana kuliko maovu meng yanayofanywa palipo na watu weng, ni vgm kuyafichua.
Sawa Afande, ungekuwa na akili usingetuma video
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Kuna wakati Tuache kuoangiana mambo.
Kila mtu Ana starehe yake
 
China inakabiliwa na tatizo la kutokuzaa sana, Serikali hadi ikaamua kufuta sheria ya ukomo wa mtoto 1 ila pamoja na hayo hakuna kilichotokea
Siongei kuhusu kutokuzaa nimekuambia idadi yao ni kubwa hilo kutokuzaa serikali inajua ilifanya nini watu wake.
 
Wewe mleta mada utakua unapingana na wanaotaka wapiga kura wengi
Kadri wanavyokosa mahitaji ya msingi ndio ambavyo vibaka,mateja,wapiga debe pamoja na wale jamaa zake Lema wafukuza upepo wanaongezeka
 
Wewe mleta mada utakua unapingana na wanaotaka wapiga kura wengi
Kadri wanavyokosa mahitaji ya msingi ndio ambavyo vibaka,mateja,wapiga debe pamoja na wale jamaa zake Lema wafukuza upepo wanaongezeka
😅😅😅
 
Najua unaongea tu hujafika huko vijijini ukiwa na kauwezo kidogo nyumba yako inageuka kituo cha omba omba,wanaomba hadi mchicha pori,tuzae watoto tunaowamudu,watoto kumi sio jambo jepesi hata kama una uwezo.
Kweli hili lipo sana
 
Ni kweli Watu ni raslimali ya Taifa. Lakini ni wale wenye afya njema tu. Wale Wenye utapiamlo na afya mgogoro badala ya kuwa rasilimali, wanageuka kuwa mizigo kwa Taifa.
Lakini hao ndio wapiga kura na mtawala ni aliyepata kura nyingi. Watakuja kukutawala tu.
Angalia ulaya inavyobadilika haraka sana. Wazungu walikataa kuza klwa wingi kisa wale starehe, wamefika mahali wanaendekeza ushoga na hivyo kuzaa hakuna.
Sasa inabidi waagize watu kutoka mabara mengine kama Asia, Africa nk. ili kupata nguvu kazi. Hao wageni hawana cha uzazi wa mpango, wanazaa kadri inavyowezekana, na hivi karibuni utawaona wanakuja kukutawala..
Unafikiri Rish Sunak ni nani!
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Njia pekee ya kukabiliana na hii hali ni elimu. Hususan kwa wanawake.

Ukileta habari za sindano na kulazimisha watu, unaingilia haki za watu kuamua.
 
Wewe mleta mada utakua unapingana na wanaotaka wapiga kura wengi
Kadri wanavyokosa mahitaji ya msingi ndio ambavyo vibaka,mateja,wapiga debe pamoja na wale jamaa zake Lema wafukuza upepo wanaongezeka
Kweli kabisa,umasikini wetu kura zao
 
Wanawake wa kipemba hata awe amesoma kidogo bado atakwambia atazaa hadi mayai yaishe kwenye ovari zake [emoji108][emoji108]

Yaani hiyo ni live kabisa wengi husema hivyo!
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Ni hoja ya msingi sana, isipuuzwe hata kidogo. Ipewe kipaombele kote nchini.
 
China inakabiliwa na tatizo la kutokuzaa sana, Serikali hadi ikaamua kufuta sheria ya ukomo wa mtoto 1 ila pamoja na hayo hakuna kilichotokea
Kua na akili au kutokua na akili hiyo siyo hoja hapa.
 
Back
Top Bottom