Wanawake wa sasa hawahitaji akili kuishi nao, wanahitaji moyo mgumu

Wanawake wa sasa hawahitaji akili kuishi nao, wanahitaji moyo mgumu

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Ndio Kama nilivyo Anza na kichwa Cha habari hapo juu.

Ni ukweli usio pingika kwamba dunia ya Sasa imejaa wanawake wapuuzi,matapeli,majizi, majuaji nk.

Hivyo basi kuishi na watu wa sampuli hiyo ukitumia akili utapoteza muda wako na nguvu zako kusumbuka na jitu lisilo jitambua linataka nini katika maisha.

Hivyo Kama wewe ni kijana wa kiume hakikisha unajijenga kuwa na moyo mgumu wenye maamuzi magumu hata Kama unaumia ila maamuzi yakisha toka na iwe hivyo ndivyo ulivyo amua na sio kuanza kurudi Rudi nyuma.

Yaani ukisha ona mkeo sijui girlfriend wako kanza kukuonesha taa za njano kuashiria taa inayo kuja hapo Ni nyekundu basi hakikisha unamfanyia surprise kwa kumtangulia mbele yake na kumuonesha utaira ambao hajawahi kuuona kwako.

Nakuambia ukizembea imekula kwako,ndio maana leo wanawake wanaingia kudanga Hadi ndoani yaani akisha jaza mfuko wake akisha ona ametosheka tu analeta za kuleta ili ndoa ife a hukue na kiinua mgongo Cha hamsini kwa hamsini akale Bata na maboya zake.

Sitachoka kuendelea kuwaasa wanaume tuendelee kufanya mambo kwa ajiri yetu na badae yetu maana tukizeeka bila kuwa na pesa tunatia huruma sana jaman

Haya mambo ya kuokota wanawake anacho miliki Cha thamani Ni smart phone na kibegi Cha kubebea mafuta ya kulainishia marinda yao wanavyo kobolewa Ni ujinga , yaaani unahangaika na kujitoa kwa mwaname anae changia kitobo tu kwenye mahusiano alafu mwisho wa siku anataka kuondoka na kipande Cha nyumba au biashara Ni usenge wa kufa mtu. Wanaume tunahitaji kuwa na mioyo migumu Sana ....hata Kama umependa vipi maamuzi magumu yanahitajika la si hivyo utadhurumiwa mapenzi yako na Mali zako pia zitazulumiwa ushindwe kula Bata na vibinti chipukizi.

Inauma mwenye masikio na asikie , najua Kuna mbuzi watakuja hapa ooooh.....mtoa maada katoswa sijui mapenzi yanamtesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. .....kukuweka wazi jioni ya leo naenda kula toto la kinyaturu maana kanisogezea Sana nikile nilikua naleta pozi cos muda wa kusaka mfariji wangu pesa ulikua umebana Sana so Leo ndio nimepata chance [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] tukutane kwenye kula kimasihara Leo usiku.

NB: Mwanaume ukishindwa kujipenda, kujithani na kuitambua thamani yako umeisha.......nasema umeishaaaaa
 
Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Unahujumu kwa wazi kabisa juhudi za mwenyezi Mungu wako alokuleta duniani.

Maana uliletwa duniani uijaze dunia,
Sasa wee dunia unaitaka ukaijaze na Nani Sasa Kama sio hao wanawake unaowalalamikia?

Au unataka ukaijaze na gogo la mti?

Au Unataka ukaijaze na kipande Cha sabuni?

AISEE YAANI INGEKUA ZAMA ZILE ZA AGANO LA KALE,
Mungu anashusha adhabu ON SPOT, Ulipaswa upigwe radi ufariki hapo hapo kwa kumhujumu Muumba wako.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika Kama MWANAUME KAMILI.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

Nakupa mfano;
Mfalme suleimani, aliishi na wanawake zaidi ya 1,000
na Hakuna mahali aliwai walalamikia wanawake zake mpk anarudi kwa Muumba wake.

Kwaiyo, Ukijiona wee huwez Kuishi na mwanawake mmoja au wawili TU wanakupasua kichwa

TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa riziki iyo na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
 
Umechelewa sana kujua hilo
Nalitambua Sana ila napenda wengi waelewe....Kama utakuwa na muda tafuta post zangu utaona.

Ila naumia Sana kuona wanaume wenzetu bado wapo kwenye dimbwi hilo wanapigwa matukio tu na kuishia kulia lia.
 
Mimi nalubaliaa na weee 100% Niggas focus on yourselvs Man.. Billgate mwenyewe jana katangaza kuvunjika ndoa yake.. Tafuta Hela, invest it, buy the things that keep you happy tv, ps4(it sharpens and keeps you busy) , magari and anything (wanaume tunajua vitu vyetu).

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Umeonaa ee sema ndio hivo Kuna baadhi ya wanaume wenzetu wakipenda wanape da ukweli.....yaaani ipo ipo utafikiri yenyewe ndio mijanamke
 
Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Unahujumu kwa wazi kabisa juhudi za mwenyezi Mungu wako alokuleta duniani.

Maana uliletwa duniani uijaze dunia,
Sasa wee dunia unaitaka ukaijaze na Nani Sasa Kama sio hao wanawake unaowalalamikia?

Au unataka ukaijaze na gogo la mti?

Au Unataka ukaijaze na kipande Cha sabuni?

AISEE YAANI INGEKUA ZAMA ZILE ZA AGANO LA KALE,
Mungu anashusha adhabu ON SPOT, Ulipaswa upigwe radi ufariki hapo hapo kwa kumhujumu Muumba wako.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.YESU AMBAYE NI JEMEDARI WA DUNIA ALIWASEPA WALA HAKUGUSA MBUSUSU MI NI NANI NIISHI NAO NIPINGANE NA MWANA WA MUNGU

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
Kwanza nianze kwa kusema hiyo statement ya kuishi na wanawake kwa akili ilikua Ni ya wanawake wale ambao hawakukaa Beijing , wanawake ambao walikua hawana 50/50 ila kwa hawa was Sasa ukijifanya unatumia akili basi trust me akili zako zote zitaishia huko na huku mambo chungu nzima yana kusubiri ikiwemo kulijenga taifa.

Mungu alikua na mpango mwema na sisi ndio maana akatuumbia wasaidizi ila Cha ajabu wewe mwanaume ndio msaidizi wa huyo mwanamke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huoni Kama unaenda kinyume na maagizo....?

Sitaki kutumia akili nyingi ku argue na wewe ngoja niishie hapo cos nilisha fanya maamuzi sitakubali kuwa sambamba na mwanamke mpuuzi asie jielewa. Na ipo hivyo.


Mzee mchana mwema.
 
MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.YESU AMBAYE NI JEMEDARI WA DUNIA ALIWASEPA WALA HAKUGUSA MBUSUSU MI NI NANI NIISHI NAO NIPINGANE NA MWANA WA MUNGU

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Na angegusa mbususu sizani Kama ukombozi tungepata
 
Kaachwa billgets huko ana hela mpaka hajui atazitumiaje
mimi ni nani ?
Haya endelea kuchoma mafuta kwa trip zisizo na manufaa ..... Ila yakiisha hayo mafuta na ukapata trip ya msingi unatakiwa kuifanya hapo ndio utajua au kukumbuka kinaongelewa nini ila kwa Sana keep enjoying the ride
 
Wakati mwingine kukaa kuwaza sana kuhusu wanawake ni kujiua mdogo mdogo,

Hakuna sababu ya kuogopa jambo kabla halijakukuta kikubwa ishi tu likikukuta ni bahati mbaya upande wako lisipokukuta furahia maisha

Hii mambo ya kuanza kuogopa na hujawahi kuzinguliwa itakufanya uishi kwa wasiwasi sana
 
Oeni mabikra.... full stop
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila sisi wanaume tunazambi Sana.......tumewatoboa toboa watoto wa watu matundu yao alafu saizi tumewajia na wimbo wa kuoa ambao hawajatobolewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....hapa ndio naamini kwenye kila Vita wahanga Ni wakina mama na watoto......ila deep down tunawatesa Sana hawa watu ila ndio hivyo wao wanaona sawa
 
MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.YESU AMBAYE NI JEMEDARI WA DUNIA ALIWASEPA WALA HAKUGUSA MBUSUSU MI NI NANI NIISHI NAO NIPINGANE NA MWANA WA MUNGU

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Yesu alikamilika Yule,
ndo maana Hadi MAKAHABA walimlilia walimfuta miguu kwa machozi yao.

Wanawake Hawa Hawa ndo waliusitiri mwili wa yesu kutoka msalabani.

Wanawake hawa Hawa ndo waliolilia Sana mateso yake kuelekea msalabani.

Yesu alikua GENTLEMAN kipenz Cha wanawake mpk anaenda kaburini.

Sema tatizo yeye huku duniani hakuletwa kuijaza dunia,

Ndo maana alikuja chap, na kufanya kilichomleta na KUSEPA ZAKE
 
Wakati mwingine badala ya kukaa kuwaza sana kuhusu wanawake ni kujiua mdogo mdogo,

Hakuna sababu ya kuogopa jambo kabla halijakukuta kikubwa ishi tu likikukuta ni bahati mbaya upande wako lisipokukuta furahia maisha

Hii mambo ya kuanza kuogopa na hujawahi kuzinguliwa itakufanya uishi kwa wasiwasi sana
Mzee badae yako Ni jambo la msingi acha ku bet na maisha yako
 
Kwanza nianze kwa kusema hiyo statement ya kuishi na wanawake kwa akili ilikua Ni ya wanawake wale ambao hawakukaa Beijing , wanawake ambao walikua hawana 50/50 ila kwa hawa was Sasa ukijifanya unatumia akili basi trust me akili zako zote zitaishia huko na huku mambo chungu nzima yana kusubiri ikiwemo kulijenga taifa.

Mungu alikua na mpango mwema na sisi ndio maana akatuumbia wasaidizi ila Cha ajabu wewe mwanaume ndio msaidizi wa huyo mwanamke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huoni Kama unaenda kinyume na maagizo....?

Sitaki kutumia akili nyingi ku argue na wewe ngoja niishie hapo cos nilisha fanya maamuzi sitakubali kuwa sambamba na mwanamke mpuuzi asie jielewa. Na ipo hivyo.


Mzee mchana mwema.
Mwanamke mpuuz ulitakiwa uonyeshe uanaume wako kwa kumfunulia upuuzi wake wote jinsi ulivyo.

Mpk Akili yeye mwenyewe kwa kinywa chake kabisa kua " aisee Mimi Ni mpuuzi"

Kisha wewe mwnyw ndo uamue,
- Either umwondolee huo UPUUZ wake kichwani na umuingizie maarifa mapya uJIpate THAWABU KWA MWENYEZI MUNGU WAKO.
 
Wakati mwingine badala ya kukaa kuwaza sana kuhusu wanawake ni kujiua mdogo mdogo,

Hakuna sababu ya kuogopa jambo kabla halijakukuta kikubwa ishi tu likikukuta ni bahati mbaya upande wako lisipokukuta furahia maisha

Hii mambo ya kuanza kuogopa na hujawahi kuzinguliwa itakufanya uishi kwa wasiwasi sana
Vijana wana uoga Sana, hawatambui vipawa walivyojaaliwa na Muumba wao.
 
Back
Top Bottom