Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Uoga unapitiliza yani kiasi ya kwamba sasa nahisi wanawake watatutawala mkuuVijana wana uoga Sana, hawatambui vipawa walivyojaaliwa na Muumba wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uoga unapitiliza yani kiasi ya kwamba sasa nahisi wanawake watatutawala mkuuVijana wana uoga Sana, hawatambui vipawa walivyojaaliwa na Muumba wao.
Hakuna kubet swala ni kuwajibika tu na simama mahali pako kama mwanaume uone Kuna jambo litaharibikaMzee badae yako Ni jambo la msingi acha ku bet na maisha yako
Thawabu ya kweli utaipata kwa kusaidia watoto yatima na wasio jiweza.acheni kujipa kazi ya uzazi kwa wakubwa wenzenu.....Kama baba yake na mama yake hakuwaelewa wewe Ni nani.....? Mwishowe mchapane makofi muanze kwenda kupeana maarifa kwa ocd na ustawi wa jamiii [emoji23][emoji23][emoji23] huo muda nunua gunia la viazi na mbuzi mmoja pela kwa watoto yatima nao waamke asubuhi na supu nzito.Mwanamke mpuuz ulitakiwa uonyeshe uanaume wako kwa kumfunulia upuuzi wake wote jinsi ulivyo,
Mpk Akili yeye mwenyewe kwa kinywa chake kabisa kua " aisee Mimi Ni mpuuzi"
Kisha wewe mwnyw ndo uamue,
- Either umwondolee huo UPUUZ wake kichwani na umuingizie maarifa mapya uJIpate THAWABU KWA MWENYEZI MUNGU WAKO.
Hivi unajijua una Mambo 99 yanakungoja ukiachana na hilo moja la mwanamke ........muda Ni Mali mzee .....acha kujifanya wewe ndio mwalimu wa kuwafundisha watu wazima ambao wanajua kwenye hiyo ndoa wamefata nn.....?Vijana wana uoga Sana, hawatambui vipawa walivyojaaliwa na Muumba wao.
Wanawake wanaanza kukutawala ukianza kuonyesha mwenyewe hujiamini.Uoga unapitiliza yani kiasi ya kwamba sasa nahisi wanawake watatutawala mkuu
Acha kuwa karirisha watu eti kumu endekeza mwanamke mjinga ndio uwanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo Ni uboya Kama uboya mwingine . Uwanaume Ni kutambua kuwa hapa sipo sehemu sahihi kuwepo. Nahitaji kuwa sehemu Fulani nikifanya jambo Fulani kwa ajiri fulani.Wanawake wanaanza kukutawala ukianza kuonyesha mwenyewe hujiamini.
Mwanaume unaejiamini huwez kuogopa kudate na mwanamke yeyote uliempenda.
Ukianza kuwaogopa Sana wanawake hata majukum ya kuwahudumia utaona Kama unaonewa.
Kumbe ni wajibu wako mwenyewe Unapaswa kumhudumia mwanamke wako.
Asilimia kubwa ya Wanaume wasiojiamini ndo wale wanaokimbia MAJUKUMU yao na kuanza kuipigia hesabu pesa ya aliyoitolea jasho mwanamke wake.
Kwa mwanaume anayetaka amani ya moyo na utulivu wa nafsi na kuondoa migongano katika mahusiano basi bado atahitaji akkli kyishi na mwanamke.Ndio Kama nilivyo Anza na kichwa Cha habari hapo juu.
....Ni ukweli usio pingika kwamba dunia ya Sasa imejaa wanawake wapuuzi,matapeli,majizi, majuaji nk.
Hivyo basi kuishi na watu wa sampuli hiyo ukitumia akili utapoteza muda wako na nguvu zako kusumbuka na jitu lisilo jitambua linataka nini katika maisha.
Hivyo Kama wewe Ni kijana wa kiume hakikisha unajijenga kuwa na moyo mgumu wenye maamuzi magumu hata Kama unaumia ila maamuzi yakisha toka na iwe hivyo ndivyo ulivyo amua na sio kuanza kurudi Rudi nyuma.
Yaani ukisha ona mkeo sijui girlfriend wako kanza kukuonesha taa za njano kuashiria taa inayo kuja hapo Ni nyekundu basi hakikisha unamfanyia surprise kwa kumtangulia mbele yake na kumuonesha utaira ambao hajawahi kuuona kwako.
Nakuambia ukizembea imekula kwako,ndio maana leo wanawake wanaingia kudanga Hadi ndoani yaani akisha jaza mfuko wake akisha ona ametosheka tu analeta za kuleta ili ndoa ife a hukue na kiinua mgongo Cha hamsini kwa hamsini akale Bata na maboya zake.
Sitachoka kuendelea kuwaasa wanaume tuendelee kufanya mambo kwa ajiri yetu na badae yetu maana tukizeeka bila kuwa na pesa tunatia huruma Sana jaman ...
Haya mambo ya kuokota wanawake anacho miliki Cha thamani Ni smart phone na kibegi Cha kubebea mafuta ya kulainishia marinda yao wanavyo kobolewa Ni ujinga , yaaani unahangaika na kujitoa kwa mwaname anae changia kitobo tu kwenye mahusiano alafu mwisho wa siku anataka kuondoka na kipande Cha nyumba au biashara Ni usenge wa kufa mtu. Wanaume tunahitaji kuwa na mioyo migumu Sana ....hata Kama umependa vipi maamuzi magumu yanahitajika la si hivyo utadhurumiwa mapenzi yako na Mali zako pia zitazulumiwa ushindwe kula Bata na vibinti chipukizi.
Inauma mwenye masikio na asikie , najua Kuna mbuzi watakuja hapa ooooh.....mtoa maada katoswa sijui mapenzi yanamtesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. .....kukuweka wazi jioni ya leo naenda kula toto la kinyaturu maana kanisogezea Sana nikile nilikua naleta pozi cos muda wa kusaka mfariji wangu pesa ulikua umebana Sana so Leo ndio nimepata chance [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] tukutane kwenye kula kimasihara Leo usiku.
NB
Mwanaume ukishindwa kujipenda, kujithani na kuitambua thamani yako umeisha.......nasema umeishaaaaa
Hawa wanadhani kutolerate bullshit ya this other gender ndio uanaume..Acha kuwa karirisha watu eti kumu endekeza mwanamke mjinga ndio uwanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo Ni uboya Kama uboya mwingine . Uwanaume Ni kutambua kuwa hapa sipo sehemu sahihi kuwepo. Nahitaji kuwa sehemu Fulani nikifanya jambo Fulani kwa ajiri fulani.
Sasa Kama unazani ulikuja duniani kuja kuwaendekeza wanawake ongeza juhudi.......ila nakukumbusha pia "Mzazi mwenye hekima huacha urithi hado kwa watoto wa watoto zake" Sasa wewe Kama unadhani utarithisha hayo malumbano yako yasiyo na kichwa Wala miguu kwa hao wanawake wako sawa ......
Badilika mkuu,Acha kuwa karirisha watu eti kumu endekeza mwanamke mjinga ndio uwanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo Ni uboya Kama uboya mwingine . Uwanaume Ni kutambua kuwa hapa sipo sehemu sahihi kuwepo. Nahitaji kuwa sehemu Fulani nikifanya jambo Fulani kwa ajiri fulani.
Sasa Kama unazani ulikuja duniani kuja kuwaendekeza wanawake ongeza juhudi.......ila nakukumbusha pia "Mzazi mwenye hekima huacha urithi hado kwa watoto wa watoto zake" Sasa wewe Kama unadhani utarithisha hayo malumbano yako yasiyo na kichwa Wala miguu kwa hao wanawake wako sawa ......
Kwa hiyo unataka kusema kuwa uliacha kazi ukaondoka ili ukamfurahishe mwanamke nyumbani kisa kajinunisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa bana nimekuelewaKwa mwanaume anayetaka amani ya moyo na utulivu wa nafsi na kuondoa migongano katika mahusiano basi bado atahitaji akkli kyishi na mwanamke.
Kama mwanaume bado ni mtu asiyejali amani ya moyo na ambaye hajali migongano yani ni mwanaume asiyejali shari basi anahitaji moyo mgumu tu kuishi nae.
Ukiishi na mwanamke kiugumu ugumu unazingua kweli yani.
Ndio maana dini ikaruhusu uongo katika ndoa wenye lengo LA KUTENGENEZA NDOA IDUMU ZAIDI NA KUEPUSHA MIGONGANO.
Kuna siku nilipewa off kibaruani,basi niliporudi wife akaniuliza mbona mapema nikamuambia "nimeomba ruhusa kwa bosi kuwa mke wangu anaumwa lkaini najua huumwi ila tu nimekumiss kweli sijui kwa nini"
Kuna jambo alinuna lakini nipomuambia hivi akafurahi akaanza story zingine
Kama Mimi nimewahi leta uzi humu wa kulialia kuhusu kutendwa na wanawake basi nitaacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Badilika mkuu,
kua na mtazamo chanya juu ya wanawake.
Uyo mwanamke Unaweza wewe shindwa kuendana nae, akapata mwingine wakaendana Safi kabisa.
Tena mtu akakakushangaa ulikwama wapi mkuu[emoji2]
Lilotokea kwako kwa uyo mwanamke wako,
Haliwez kugeneralize kitakachotutokea wanaume wengine kwa uyo mwanamke wako.
Apo mjinga Ni wewe ulieshindwa kumtuliza kiumbe unayemmudu KWENYE himaya yako.
Sikupingi, ilaKwa hiyo unataka kusema kuwa uliacha kazi ukaondoka ili ukamfurahishe mwanamke nyumbani kisa kajinunisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa bana nimekuelewa
Sijapingana na wewe,Kama Mimi nimewahi leta uzi humu wa kulialia kuhusu kutendwa na wanawake basi nitaacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa taarifa yako Mimi wanawake kwangu wapo chini yangu hakunaga mjanja wa Alie fanikiwa kuniendesha . Sio kusema sijawahi toswa no nilitoswa na nikaumia na kupondeka vizuri tu ila kipondo kile kiliniimarisha na kunifanya niwe makini Sana na hizi safari za mapenzi .Kama ujuavyo tunaumia ili kujifunza sio kulegea .
Tafuta nyuzi zangu utaelewa nincho maanisha
Sio wote mkuuhawa viumbe hawana na ku offer kwenye mahusiano/ndoa zaidi ya tundu(matundu), ndio maana mkizinguana anakimbilia kubana miguu
pumbav
Umakini wako katika comment yangu umepotea.Kwa hiyo unataka kusema kuwa uliacha kazi ukaondoka ili ukamfurahishe mwanamke nyumbani kisa kajinunisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa bana nimekuelewa