Wanawake wa sasa hawahitaji akili kuishi nao, wanahitaji moyo mgumu

Wanawake wa sasa hawahitaji akili kuishi nao, wanahitaji moyo mgumu

Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Unahujumu kwa wazi kabisa juhudi za mwenyezi Mungu wako alokuleta duniani.

Maana uliletwa duniani uijaze dunia,
Sasa wee dunia unaitaka ukaijaze na Nani Sasa Kama sio hao wanawake unaowalalamikia?

Au unataka ukaijaze na gogo la mti?

Au Unataka ukaijaze na kipande Cha sabuni?

AISEE YAANI INGEKUA ZAMA ZILE ZA AGANO LA KALE,
Mungu anashusha adhabu ON SPOT, Ulipaswa upigwe radi ufariki hapo hapo kwa kumhujumu Muumba wako.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika Kama MWANAUME KAMILI.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

Nakupa mfano;
Mfalme suleimani, aliishi na wanawake zaidi ya 1,000
na Hakuna mahali aliwai walalamikia wanawake zake mpk anarudi kwa Muumba wake.

Kwaiyo, Ukijiona wee huwez Kuishi na mwanawake mmoja au wawili TU wanakupasua kichwa

TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa riziki iyo na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
Unachosema ni kwel lakin angalia usije jutia mwisho wa siku kutumia mda wako mwing kushindana na wanawake baadala ya kujitengenezea furaha
 
Waheshimuni wanawake umekuja/umeletwa duniani kwa kupitia mwanamke iweje leo unawadharau, heshima na upendo unaomuonyesha mama yako mzazi itumike hata kwa wanawake wengine kumbuka amri kuu ya mungu ni upendo. 'Pendaneni' na tunda tunda la roho ni upendo kama hujaoa au haupo kwenye ndoa ngumu sana kumeza.

Binti mrembo au mwanamke yeyote unaemdharau leo ndio mama mzazi mpendwa wa kijana furani huko mbeleni kama vile wewe unavyompenda mama yako naamini ukimuuliza mwanaume yeyote anaekubaliana na mtoa post upendo wake mkuu upo kwa mama yake.

Ishi na mwanamke kwa akili anaelewa maana halisi ya msemo huu na aelewe.
Mtoa mada sijui anakwama wapi
 
Unachosema ni kwel lakin angalia usije jutia mwisho wa siku kutumia mda wako mwing kushindana na wanawake baadala ya kujitengenezea furaha
Mwanaume hashindani na mwanamke,

Rudia nlichokisema,

Mwanamke anaishi na mwanamke kwa akili.
 
Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Unahujumu kwa wazi kabisa juhudi za mwenyezi Mungu wako alokuleta duniani.

Maana uliletwa duniani uijaze dunia,
Sasa wee dunia unaitaka ukaijaze na Nani Sasa Kama sio hao wanawake unaowalalamikia?

Au unataka ukaijaze na gogo la mti?

Au Unataka ukaijaze na kipande Cha sabuni?

AISEE YAANI INGEKUA ZAMA ZILE ZA AGANO LA KALE,
Mungu anashusha adhabu ON SPOT, Ulipaswa upigwe radi ufariki hapo hapo kwa kumhujumu Muumba wako.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika Kama MWANAUME KAMILI.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

Nakupa mfano;
Mfalme suleimani, aliishi na wanawake zaidi ya 1,000
na Hakuna mahali aliwai walalamikia wanawake zake mpk anarudi kwa Muumba wake.

Kwaiyo, Ukijiona wee huwez Kuishi na mwanawake mmoja au wawili TU wanakupasua kichwa

TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa riziki iyo na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
Huwa nawaambia kipimo cha akili wewe oa .ndiyo utakapojua weewe ni dume la akili au laaaah
 
Yaani wanawake wasiojitambua ndio wanakutisha mkuu!??
Si uwafuate wanaojitambua tu kazi iishe.
Kwanza hao wanawake wasiojitambua hata huwa haziivi na wanaume wanaojitambua.
AUTOMATICALLY.
Hapana sio mimi boss [emoji23][emoji23][emoji23] nawa encourage hawa vijana wanao lialia kila siku na mapenzi
 
Tatizo mnaendekeza ujentromeni utawagharimu dawa ya mwanamke ni makofi tu aondoe ujinga wake! Tutafika tu haachwi mtu hapo!!!
Tupo pamoja mkuu same applies .......Ni mwendo wa vibao , akizi unamfungashia
 
Yesu alikamilika Yule,
ndo maana Hadi MAKAHABA walimlilia walimfuta miguu kwa machozi yao.

Wanawake Hawa Hawa ndo waliusitiri mwili wa yesu kutoka msalabani.

Wanawake hawa Hawa ndo waliolilia Sana mateso yake kuelekea msalabani.

Yesu alikua GENTLEMAN kipenz Cha wanawake mpk anaenda kaburini.

Sema tatizo yeye huku duniani hakuletwa kuijaza dunia,

Ndo maana alikuja chap, na kufanya kilichomleta na KUSEPA ZAKE
Wewe **** kufananisha wanawake wakarne ile na maslay queen
 
Mimi nalubaliaa na weee 100% Niggas focus on yourselvs Man.. Billgate mwenyewe jana katangaza kuvunjika ndoa yake.. Tafuta Hela, invest it, buy the things that keep you happy tv, ps4(it sharpens and keeps you busy) , magari and anything (wanaume tunajua vitu vyetu).

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
We have PS5 now nmetoka kufungana na mama swalehe hapa
 
Tatizo mnaendekeza ujentromeni utawagharimu dawa ya mwanamke ni makofi tu aondoe ujinga wake! Tutafika tu haachwi mtu hapo!!!
Hapo ndio haujawi niangusha mwanangu Extro hauna baby pleaseeee!! 😂😂😂ni mwendo wa maamuzi magumu haunaga love screen za korea
 
Nnavyojua Mimi,
Mwanaume ameumbwa kutawala na sio kutawaliwa.

Mwanaume ameumbwa kuzitatua changamoto na sio kuzikimbia.

Hata vitabu vya dini vinatuambia
"Ishini na wanawake kwa akili"

Kwa kutumia uwezo alitujalia wanaume mwenyezi Mungu wetu, tangu dunia hii imeumbwa,

Mwanaume ili ukamilike unatakiwa uwe na uwezo wa Kuishi na Kila Aina ya mwanamke .

Ukijiona unalalama Sana kuhusu wanawake au unataka kujitenga nao,

Unakua unamfanyia UHAINI mwenyezi Mungu wako alokuumba.

Unahujumu kwa wazi kabisa juhudi za mwenyezi Mungu wako alokuleta duniani.

Maana uliletwa duniani uijaze dunia,
Sasa wee dunia unaitaka ukaijaze na Nani Sasa Kama sio hao wanawake unaowalalamikia?

Au unataka ukaijaze na gogo la mti?

Au Unataka ukaijaze na kipande Cha sabuni?

AISEE YAANI INGEKUA ZAMA ZILE ZA AGANO LA KALE,
Mungu anashusha adhabu ON SPOT, Ulipaswa upigwe radi ufariki hapo hapo kwa kumhujumu Muumba wako.

Vinginevyo,
ukiri mwenyewe na utubu kua alokuumba, alikuumba bila kukukamilisha.

Maana ake,
Umeumbwa mwanaume, ila Ni mwanaume ambae ujakamilika Kama MWANAUME KAMILI.

HATA Wanawake MAKAHABA, WADANGANJI,WACHUNAJI,VICHECHE, na viburi nao wanahitaji upendo.

Na wapo walioolewa na ndoa zao zimekua na mafanikio kuliko hata baadhi ya zile ambazo mlidhani mwanzoni wanawake walikua 81%- 100% perfect

Ni uwezo wako tu ALokujalia mwenyezi Mungu.
utaoweza kuibadilisha 0% iliyo vichwani mwao, kua 100% unayoitaka wewe.

MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.

Nakupa mfano;
Mfalme suleimani, aliishi na wanawake zaidi ya 1,000
na Hakuna mahali aliwai walalamikia wanawake zake mpk anarudi kwa Muumba wake.

Kwaiyo, Ukijiona wee huwez Kuishi na mwanawake mmoja au wawili TU wanakupasua kichwa

TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa riziki iyo na mwenyez Mungu wako alokuumba.

ACHANA KABISA NA ishu za WANAWAKE, wee FANYA tu ISHU NYINGINE.
agiza soda nalipia
 
Ndio Kama nilivyo Anza na kichwa Cha habari hapo juu.

Ni ukweli usio pingika kwamba dunia ya Sasa imejaa wanawake wapuuzi,matapeli,majizi, majuaji nk.

Hivyo basi kuishi na watu wa sampuli hiyo ukitumia akili utapoteza muda wako na nguvu zako kusumbuka na jitu lisilo jitambua linataka nini katika maisha.

Hivyo Kama wewe ni kijana wa kiume hakikisha unajijenga kuwa na moyo mgumu wenye maamuzi magumu hata Kama unaumia ila maamuzi yakisha toka na iwe hivyo ndivyo ulivyo amua na sio kuanza kurudi Rudi nyuma.

Yaani ukisha ona mkeo sijui girlfriend wako kanza kukuonesha taa za njano kuashiria taa inayo kuja hapo Ni nyekundu basi hakikisha unamfanyia surprise kwa kumtangulia mbele yake na kumuonesha utaira ambao hajawahi kuuona kwako.

Nakuambia ukizembea imekula kwako,ndio maana leo wanawake wanaingia kudanga Hadi ndoani yaani akisha jaza mfuko wake akisha ona ametosheka tu analeta za kuleta ili ndoa ife a hukue na kiinua mgongo Cha hamsini kwa hamsini akale Bata na maboya zake.

Sitachoka kuendelea kuwaasa wanaume tuendelee kufanya mambo kwa ajiri yetu na badae yetu maana tukizeeka bila kuwa na pesa tunatia huruma sana jaman

Haya mambo ya kuokota wanawake anacho miliki Cha thamani Ni smart phone na kibegi Cha kubebea mafuta ya kulainishia marinda yao wanavyo kobolewa Ni ujinga , yaaani unahangaika na kujitoa kwa mwaname anae changia kitobo tu kwenye mahusiano alafu mwisho wa siku anataka kuondoka na kipande Cha nyumba au biashara Ni usenge wa kufa mtu. Wanaume tunahitaji kuwa na mioyo migumu Sana ....hata Kama umependa vipi maamuzi magumu yanahitajika la si hivyo utadhurumiwa mapenzi yako na Mali zako pia zitazulumiwa ushindwe kula Bata na vibinti chipukizi.

Inauma mwenye masikio na asikie , najua Kuna mbuzi watakuja hapa ooooh.....mtoa maada katoswa sijui mapenzi yanamtesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. .....kukuweka wazi jioni ya leo naenda kula toto la kinyaturu maana kanisogezea Sana nikile nilikua naleta pozi cos muda wa kusaka mfariji wangu pesa ulikua umebana Sana so Leo ndio nimepata chance [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] tukutane kwenye kula kimasihara Leo usiku.

NB: Mwanaume ukishindwa kujipenda, kujithani na kuitambua thamani yako umeisha.......nasema umeishaaaaa
WELL SAWA HAINA SHIDA, TUTAFANYA YANAYOWEZEKANA
 
Ukitaka kuchakaa na kufa mapema kuliko ilivyopaswa endekeza upumbavu na ujinga ujinga wa mwanamke. Wanawake hata wenyewe tu hawazielewi vizuri akili zao.
Matumizi ya akili kwa mwanamke mjinga mjinga ni mtumizi mabaya sana ya akili zako. Mambo ya kutumia akili yapo mengi sana sio kwa wanawake hawa wajinga wajinga wa sasa.
 
Back
Top Bottom