Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wao wanachukulia kwamba akili alizotumia Adamu kuishi na Eva ndio zina apply kizazi hiki cha tiktok? 😂😂😂Tupo pamoja mkuu same applies .......Ni mwendo wa vibao , akizi unamfungashia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wanachukulia kwamba akili alizotumia Adamu kuishi na Eva ndio zina apply kizazi hiki cha tiktok? 😂😂😂Tupo pamoja mkuu same applies .......Ni mwendo wa vibao , akizi unamfungashia
Now ps 5 mkuu😁Mimi nalubaliaa na weee 100% Niggas focus on yourselvs Man.. Billgate mwenyewe jana katangaza kuvunjika ndoa yake.. Tafuta Hela, invest it, buy the things that keep you happy tv, ps4(it sharpens and keeps you busy) , magari and anything (wanaume tunajua vitu vyetu).
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Waambie vijana waelewe wenyewe wanadhani maishani Ni kudeal na wanawake tuUkitaka kuchakaa na kufa mapema kuliko ilivyopaswa endekeza upumbavu na ujinga ujinga wa mwanamke. Wanawake hata wenyewe tu hawazielewi vizuri akili zao.
Matumizi ya akili kwa mwanamke mjinga mjinga ni mtumizi mabaya sana ya akili zako. Mambo ya kutumia akili yapo mengi sana sio kwa wanawake hawa wajinga wajinga wa sasa.
Sema mzee baba unafurahisha sana, yaani umri huo unapiga wife makofi? Ana miaka mingapi?Hapanaga huo ujinga na mama watoto ananipenda mara dufu sababu anajua akivuka line lazma achezee mabanzi!
Ameshaacha ujinga sikuhiziSema mzee baba unafurahisha sana, yaani umri huo unapiga wife makofi? Ana miaka mingapi?
Miles unafurahisha sana, umeshaona mwanamke ni mwizi, tapeli, mjuaji, muongo muongo n.k na bado unataka kuishi/ kudate nae, ndio matatizo ya kutumia roho ngumu badala ya kutumia akili unapodeal na wanawake.Ni ukweli usio pingika kwamba dunia ya Sasa imejaa wanawake wapuuzi,matapeli,majizi, majuaji nk.
Hivyo basi kuishi na watu wa sampuli hiyo ukitumia akili utapoteza muda wako na nguvu zako kusumbuka na jitu lisilo jitambua linataka nini katika maisha.
Hivyo Kama wewe ni kijana wa kiume hakikisha unajijenga kuwa na moyo mgumu wenye maamuzi magumu hata Kama unaumia ila maamuzi yakisha toka na iwe hivyo ndivyo ulivyo amua na sio kuanza kurudi Rudi nyuma.
Yaani ukisha ona mkeo sijui girlfriend wako kanza kukuonesha taa za njano kuashiria taa inayo kuja hapo Ni nyekundu basi hakikisha unamfanyia surprise kwa kumtangulia mbele yake na kumuonesha utaira ambao hajawahi kuuona kwako.
Nakuambia ukizembea imekula kwako,ndio maana leo wanawake wanaingia kudanga Hadi ndoani yaani akisha jaza mfuko wake akisha ona ametosheka tu analeta za kuleta ili ndoa ife a hukue na kiinua mgongo Cha hamsini kwa hamsini akale Bata na maboya zake.
Sitachoka kuendelea kuwaasa wanaume tuendelee kufanya mambo kwa ajiri yetu na badae yetu maana tukizeeka bila kuwa na pesa tunatia huruma sana jaman
Haya mambo ya kuokota wanawake anacho miliki Cha thamani Ni smart phone na kibegi Cha kubebea mafuta ya kulainishia marinda yao wanavyo kobolewa Ni ujinga , yaaani unahangaika na kujitoa kwa mwaname anae changia kitobo tu kwenye mahusiano alafu mwisho wa siku anataka kuondoka na kipande Cha nyumba au biashara Ni usenge wa kufa mtu. Wanaume tunahitaji kuwa na mioyo migumu Sana ....hata Kama umependa vipi maamuzi magumu yanahitajika la si hivyo utadhurumiwa mapenzi yako na Mali zako pia zitazulumiwa ushindwe kula Bata na vibinti chipukizi.
Inauma mwenye masikio na asikie , najua Kuna mbuzi watakuja hapa ooooh.....mtoa maada katoswa sijui mapenzi yanamtesa![]()
![]()
. .....kukuweka wazi jioni ya leo naenda kula toto la kinyaturu maana kanisogezea Sana nikile nilikua naleta pozi cos muda wa kusaka mfariji wangu pesa ulikua umebana Sana so Leo ndio nimepata chance![]()
![]()
![]()
tukutane kwenye kula kimasihara Leo usiku.![]()
NB: Mwanaume ukishindwa kujipenda, kujithani na kuitambua thamani yako umeisha.......nasema umeishaaaaa
Kabisa mkuuWanawake wanaanza kukutawala ukianza kuonyesha mwenyewe hujiamini.
Mwanaume unaejiamini huwez kuogopa kudate na mwanamke yeyote uliempenda.
Ukianza kuwaogopa Sana wanawake hata majukum ya kuwahudumia utaona Kama unaonewa.
Kumbe ni wajibu wako mwenyewe Unapaswa kumhudumia mwanamke wako.
Asilimia kubwa ya Wanaume wasiojiamini ndo wale wanaokimbia MAJUKUMU yao na kuanza kuipigia hesabu pesa ya aliyoitolea jasho mwanamke wake.
🤣🤣MWANAUME UKIJIONA HUWEZ KUISHI NA MWANAMKE, BASI JUA HUNA AKILI.
NA TAMBUA KABISA WEWE SIO RIZIKI kabisa, maana hukujaliwa na mwenyez Mungu wako alokuumba.YESU AMBAYE NI JEMEDARI WA DUNIA ALIWASEPA WALA HAKUGUSA MBUSUSU MI NI NANI NIISHI NAO NIPINGANE NA MWANA WA MUNGU
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app