Wanawake wa sasa hawahitaji akili kuishi nao, wanahitaji moyo mgumu

Unachosema ni kwel lakin angalia usije jutia mwisho wa siku kutumia mda wako mwing kushindana na wanawake baadala ya kujitengenezea furaha
 
Mtoa mada sijui anakwama wapi
 
Unachosema ni kwel lakin angalia usije jutia mwisho wa siku kutumia mda wako mwing kushindana na wanawake baadala ya kujitengenezea furaha
Mwanaume hashindani na mwanamke,

Rudia nlichokisema,

Mwanamke anaishi na mwanamke kwa akili.
 
Huwa nawaambia kipimo cha akili wewe oa .ndiyo utakapojua weewe ni dume la akili au laaaah
 
Yaani wanawake wasiojitambua ndio wanakutisha mkuu!??
Si uwafuate wanaojitambua tu kazi iishe.
Kwanza hao wanawake wasiojitambua hata huwa haziivi na wanaume wanaojitambua.
AUTOMATICALLY.
Hapana sio mimi boss [emoji23][emoji23][emoji23] nawa encourage hawa vijana wanao lialia kila siku na mapenzi
 
Tatizo mnaendekeza ujentromeni utawagharimu dawa ya mwanamke ni makofi tu aondoe ujinga wake! Tutafika tu haachwi mtu hapo!!!
Tupo pamoja mkuu same applies .......Ni mwendo wa vibao , akizi unamfungashia
 
Wewe **** kufananisha wanawake wakarne ile na maslay queen
 
We have PS5 now nmetoka kufungana na mama swalehe hapa
 
Tatizo mnaendekeza ujentromeni utawagharimu dawa ya mwanamke ni makofi tu aondoe ujinga wake! Tutafika tu haachwi mtu hapo!!!
Hapo ndio haujawi niangusha mwanangu Extro hauna baby pleaseeee!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ni mwendo wa maamuzi magumu haunaga love screen za korea
 
agiza soda nalipia
 
WELL SAWA HAINA SHIDA, TUTAFANYA YANAYOWEZEKANA
 
Ukitaka kuchakaa na kufa mapema kuliko ilivyopaswa endekeza upumbavu na ujinga ujinga wa mwanamke. Wanawake hata wenyewe tu hawazielewi vizuri akili zao.
Matumizi ya akili kwa mwanamke mjinga mjinga ni mtumizi mabaya sana ya akili zako. Mambo ya kutumia akili yapo mengi sana sio kwa wanawake hawa wajinga wajinga wa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…