Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

Mungu atusaidie na kutuhurumia,kwa maneno hayo huko nikutudhalilisha sna maana umatuona maharage ya mby.

Kumbuka umesema ulikuwa unawachombeza,hapo sijaelewa ulikuwa unawatania au unawahitaji kweli?

Nimegundua upo hapo kwa lengo la kuumiza wanawake.

Asante kwa kutuonya ila unachofanya sio kizurii.ipo siku utahitaji kuoa hutapata mtu na ukipata hatokuwa yule unae muhitaji.
 
OTE="Heaven Sent, post: 15746197, member: 173866"]yeye ndo cheap au wote wawili ni cheap?[/QUOTE]
The sad part is that it is a mans world, so men and women don't get judged on the same moral standards.
 
Dada mahubiri tena?! Dhambi hiyo nishatubu. Mungu anisamehe tu kwa kweli kwani yeye ni mwingi wa rehma! My Confession..

Kwema lakini?

Haahaaa
Eti mahubiri!.
Amina kutubu ndo mhimu,na uache tulia na 1,oa!

Kwema ndugu!
 
OTE="Heaven Sent, post: 15746197, member: 173866"]yeye ndo cheap au wote wawili ni cheap?
The sad part is that it is a mans world, so men and women don't get judged on the same moral standards.[/QUOTE]
Labda kwa hao wengine, mie ntaona wote tu nyie ni cheap
 
tatizo sio mademu wanaboa ila story zinaboa
mara wanaume wa siku hizi wako hivi
mara wanaume wa dar
mara single mother wamekuwa rahisi
linapokutoke jambo hata kama limekutokea kwa watu kumi hiyo sio sababu ya kuwajaji watu wote
 
Labda kwa hao wengine, mie ntaona wote tu nyie ni cheap[/QUOTE]unachosema upo sahihi lakini mbele ya jamii its a different story, assume kwenye iyo 1 nite stand demu kapata mimba na ameopt kujifungua alafu mchizi anazingua to put a ring on it hadi responsibility, mama yake demu mwenyewe atamuona cheap kuzalia home bila ndoa, wanaume atakaokutana nao mbeleni wakisikia mtoto na wenyewe wanaona its a turn off, lkn kwa mchizi he gets to marry the girl of his dreams and lives his happily ever after without any repercussions
 
Wawe wagumu wapi acha wawe rahisi wengine tupone
 
Mkuu umenigusa sana, yashaanza kunitokea mimi, najuta sana kweli malipo ni hapa hapa
 
Unatuharibia brother, wengine tunapenda mambo yasiyo na complications, umeshuka vesi umeeleweka akatae ili iweje?
 
This is such a terrible experience mkuu...ndivyo walivyo hawa, ukisema unaonekana mbaya
 
labda ndinga ilikua inachomoka kama ndege?!
Muwage mnasoma mkiwa na utulivu sio mnakurupuka jamani, rejea uzi wangu uone kama nimeandika hivyo. Unless kama una story yako mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…