[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke gani huyo hataki ndoa???? Hiiiiii jamani Mimi ndoa naitaka tena mnooooo hivi kuna raha nyingine tofauti na ndoa??? Msiiiew ukiona mtu anasema hataki ndoa mnafiki huyooo mwongoo eti hataki kua chini ya mwanaume pyeeeee ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahahahahhahahahaha kwa kweli shoga ndoa mi naitaka Hahahahahahaha kusema sitaki ndoa uwongo unafiki dhambi ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeongea kwa hisia kweli, ila tafakari zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli Mimi nataka kuolewa sio kujioa .....hapa nawaza ule usiku wa saa nane mmejiamsha na mumeo mnaamsha hisia mnaingia mzigoni na kausingizi kenu ....hebu kwa kweli mi nataka ndoa ...
Jamani anaetafuta mke nipo hapa hahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Chura ninae mwaya angalau si haba hahahahahahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]shogaa sawa we unataka ndoa
Vigezo na mashart kuzingatiwa siunajua tena wanataka kuona chura ndani ya dera
Uko sahihi kabisa mwenza, ila kumbuka hapa tunaongelea mume na sio wanaume wengine kama baba, mjomba n.k na hao waliotoboa kwa sababu ya waume zao ndio wale waliobahatika kuolewa na wanaume waelewa japo tabu iko palepale mwanamke akishaolewa majukumu yanadouble kama sio kutriple hivyo nafasi ya kutimiza ndoto binafsi bado inakuwa finyu. Kuhusu hao waliokuwa impacted negatively hao wapo ila inahitaji mtu mwenye strong will kitu ambacho si wote tumejaaliwa, si kila mtu ana uwezo wa kutoboa anapokutana na upinzani mkubwaBinadamu tunategemeana sana kama ambavyo tuna mchango kwao basi nao wana mchango kwetu. Mchango waweza kuwa hali au mali na kwa kiasi kikubwa pande zote mbili wanachangia sana kwenye maendeleo yetu ni vile tu tunakuwaga wabishi kulikubali hili.
Wanawake wengi wenye mafanikio ukiangalia historia iliyo nyuma yao huwa kuna nguvu ya mwanaume either posively au negatively na kumbuka mwanaume huyo aweza kuwa ni baba yake pia.
Negatively ni ile umekunyanyasa ukaamka ukaamua kupambana hadi ukatoboa, positively ni ile amekutia moyo akaongezea na pesa then ukapambana ukapasua. Upande wa kutupa sapoti kifedha wanaume wako vizuri, ni watoaji wazuri tu ukiachilia wale wenye roho za kimasikini
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimsemee kila mtu. Mimi na wewe twaweza kuwa tunaitaka ila si sahihi kusema kila mtu anataka na akisema hataki eti ni mnafiki. Fikiria mara mbili kama espy alivyokuambiaHaaahahahahhahahahaha kwa kweli shoga ndoa mi naitaka Hahahahahahaha kusema sitaki ndoa uwongo unafiki dhambi ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio n wazury mkuu, lkn hawana character za kuolewa ndio maana wana gegedwa na kuachwaa.ndio hivo mkuu,, tatizo mademu wazuri walio wengi huringia uzuri wao ndo maana wanaishia kugegedwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mwakilishi, ajenda nitumiepo kwa piemuNakesho kile kikao chetu mapemaa
Ni kweli ukiolewa uwezekano wa kutoboa sana ni mdogo unless umpate mume muelewa sanaaa, sio hawa wetu ambao ukimzidi elfu5 tu tayari umetangaza vita.Uko sahihi kabisa mwenza, ila kumbuka hapa tunaongelea mume na sio wanaume wengine kama baba, mjomba n.k na hao waliotoboa kwa sababu ya waume zao ndio wale waliobahatika kuolewa na wanaume waelewa japo tabu iko palepale mwanamke akishaolewa majukumu yanadouble kama sio kutriple hivyo nafasi ya kutimiza ndoto binafsi bado inakuwa finyu. Kuhusu hao waliokuwa impacted negatively hao wapo ila inahitaji mtu mwenye strong will kitu ambacho si wote tumejaaliwa, si kila mtu ana uwezo wa kutoboa anapokutana na upinzani mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapokua huwa wanawake tunatamani na kuitaka ndoa sana hii ni nature. Kadri unavyokuwa changamoto za maisha na misukosuko mingine na kuongezeka kwa ufahamu wa mambo mwisho wa siku unaona huo upande sio wako.Usimsemee kila mtu. Mimi na wewe twaweza kuwa tunaitaka ila si sahihi kusema kila mtu anataka na akisema hataki eti ni mnafiki. Fikiria mara mbili kama espy alivyokuambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Khantwe jamani hapo nimesema Mimi naitakaUsimsemee kila mtu. Mimi na wewe twaweza kuwa tunaitaka ila si sahihi kusema kila mtu anataka na akisema hataki eti ni mnafiki. Fikiria mara mbili kama espy alivyokuambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi hio MkweKazi mnayo.
Tunapokua huwa wanawake tunatamani na kuitaka ndoa sana hii ni nature. Kadri unavyokuwa changamoto za maisha na misukosuko mingine na kuongezeka kwa ufahamu wa mambo mwisho wa siku unaona huo upande sio wako.
Hii sio kwa wanawake tu hata wanaume maana hata mapunga wanatamani ndoa. Hizi kauli zao nyingi za "sitaki kuoa", "sijui kama nitaoa" zimebeba historia ndani yake na si kwamba tangu wanazaliwa walikuwa na mawazo hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, lakini umesema mwanamke ambae anasema hataki ndoa ni mnafiki, haiko hivyo
Hahahah kumbe unataman ndoa kisa hako kamchezo ka kuamshana. Ila mbaya ukishaolewa utaanza kujifanya umechoka kilasaa. Hapo ndio tabu yenyewe inapoanzaga!Kwa kweli Mimi nataka kuolewa sio kujioa .....hapa nawaza ule usiku wa saa nane mmejiamsha na mumeo mnaamsha hisia mnaingia mzigoni na kausingizi kenu ....hebu kwa kweli mi nataka ndoa ...
Jamani anaetafuta mke nipo hapa hahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuulizane ....hivi huyo anaesema hataki ndoa akitokea mtu serious moja kwa moja akaenda kulipa mahari akatangaza ndoa atakataa?Sawa, lakini umesema mwanamke ambae anasema hataki ndoa ni mnafiki, haiko hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke gani huyo hataki ndoa???? Hiiiiii jamani Mimi ndoa naitaka tena mnooooo hivi kuna raha nyingine tofauti na ndoa??? Msiiiew ukiona mtu anasema hataki ndoa mnafiki huyooo mwongoo eti hataki kua chini ya mwanaume pyeeeee ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli hahahahaahahahhahaha [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahah kumbe unataman ndoa kisa hako kamchezo ka kuamshana. Ila mbaya ukishaolewa utaanza kujifanya umechoka kilasaa. Hapo ndio tabu yenyewe inapoanzaga!
Nitofautishe na watu wengine usinione nafanya porojo humu Mimi ni mtu ambae nimesoma dini vizuri itakua ngumu mno kwa mtu anayeamini kuleta mchecheto kwenye vitu vya msingiNa wewe ukishaipata utakuwa kama wao
Mi sitakufinya bebi, utafanya mambo yote upendayo ila ukileta ujinga tu unakula ban takatifu. Hata getini utakuwa hutoki๐๐๐๐๐Umesema mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya mwanamke?? Si kweli, kwa hilo umepuyanga. Kama unazungumzia maendeleo ya familia sawa lakini kama unaongelea maendeleo binafsi ya mwanamke si kweli, mwanamke akishaingia kwenye himaya ya mwanaume anakuwa si huru tena na kama amepata mwanaume ambae si mwelewa uchumi wake utakuwa umeishia hapo, career yake anaizika hapo na kila kitu kinachomhusu yeye binafsi anasahau anabaki kuwa msikilizaji mtulivu. Wanawake wengi waliofanikiwa ni wale walioko singo au walioolewa na wanaume waelewa wasiofinya uhuru wa wenza wao(ila wanaume wa hivi wako wachacheee)
Sent using Jamii Forums mobile app