Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
[emoji23]Mume utapata, yani kama una combination ya chura na tabia njema mume yupo jirani na wewe kuliko unavyoweza fikiri! Barikiwa sana mtoto mzuri zeshchriss
Duh HahahahahahahaHata kama ingekuwa hivyo...there is always a second chance...hakuna alyepuyanga kama Daudi na mwanaye Suileman lakini the power of second chance saved them...tembea kifua mbere
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Uhuni wa aina gani yaani tuanze hapaUmewahi kuwa mhuni kufanya uhuni ???
We acha kumdanganya mwenzio, ndio kigezo kikuu hicho.Nigga nigga hahaha lakini hakuna mahusiano kati ya kupata mume na chura
Haahahhaahahah hebu ngoja kwanza nitajibu baadae naona sasa hivi nimebanwa na majukumuUliandika maisha ya uhuni yana muda wake kwahiyo uhuni wowote ule ambao umewahi kuufanya muda wake umeisha si ndiyo
Uhuni wowote Tu nataka kujua uhuni una muda wake muafaka katika maisha
Si ndicho kigezo chenu kikuu?We mkorofi sana ujue mambo ya chura ni Fantasy tu trust me hakuna mahusiano kati ya kuwa na chura na kuolewa
Nitofautishe na watu wengine usinione nafanya porojo humu Mimi ni mtu ambae nimesoma dini vizuri itakua ngumu mno kwa mtu anayeamini kuleta mchecheto kwenye vitu vya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna mahusiano ya karibu sana katika tabia nzuri za mwanamke na kupata mume cuz! Read between the lines chura ni added advantage ma nicca!Nigga nigga hahaha lakini hakuna mahusiano kati ya kupata mume na chura
Pole sana vumilia hilo ni chaguo lako omba mungu kwa imani yako atakaa sawa tuKama ni hivyo nakuombea, nimeoa na nina watoto 2, sijui huyu mtu wangu nimemkosa nini, nabaki kumwomba Mungu tu
hao ambao wapo single huenda ni kwa sababub tu marital status zao zinaonesha single but in reality wapo kwenye relationships na wanaume sahihi japo uhusiano unakuw bado haujawa officialUmesema mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya mwanamke?? Si kweli, kwa hilo umepuyanga. Kama unazungumzia maendeleo ya familia sawa lakini kama unaongelea maendeleo binafsi ya mwanamke si kweli, mwanamke akishaingia kwenye himaya ya mwanaume anakuwa si huru tena na kama amepata mwanaume ambae si mwelewa uchumi wake utakuwa umeishia hapo, career yake anaizika hapo na kila kitu kinachomhusu yeye binafsi anasahau anabaki kuwa msikilizaji mtulivu. Wanawake wengi waliofanikiwa ni wale walioko singo au walioolewa na wanaume waelewa wasiofinya uhuru wa wenza wao(ila wanaume wa hivi wako wachacheee)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akuongoze upate mwanaume sahihi wa ndoto zakoKwa kweli Mimi nataka kuolewa sio kujioa .....hapa nawaza ule usiku wa saa nane mmejiamsha na mumeo mnaamsha hisia mnaingia mzigoni na kausingizi kenu ....hebu kwa kweli mi nataka ndoa ...
Jamani anaetafuta mke nipo hapa hahahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa fundi baiskeli alimfungulia mkewe biashara ya mpungaNi kweli ukiolewa uwezekano wa kutoboa sana ni mdogo unless umpate mume muelewa sanaaa, sio hawa wetu ambao ukimzidi elfu5 tu tayari umetangaza vita.
Lakini pia unajua mafanikio ya mwanamke tangu anapokuwa mdogo ni ndoa. Ndio maana mara nyingi kukuta mwanamke anafanya maendeleo binafsi akiwa hayupo kwenye ndoa ni nadra sana.
Kuna yule anayeona sio jukumu lake ataolewa na mwanaume mwenye pesa then atapata maendeleo.
Wa pili ni yule anayeona akifanikiwa sana atakosa wa kumuoa as wanaume watamuogopa. Kwakuwa akili zetu ziko centred kwenye ndoa ndio maana wanaume wanajiona miungu watu juu yetu.
Hapa mie naona mtoa mada anatishwa na maendeleo ya wanawake as anatambua tukitusua basi ile dhana ya wao kututawala itadidimia mwisho kufa.
Sent using Jamii Forums mobile app