new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 274
- 583
Siwezioa Dem ambae hajawai nipikia chakula last year nilikuaga na rafiki yangu aliniomba getto aje na Dem wake walipofika Dem akaniuliza Shem gesi ipo kwel nikasema ndio Dem akaanza andaa madiko diko huku nikiwa namshikaji tunapiga story mbili tatu Dem anauliza mbona mafuta yakula Amna muuni nikatoa buku nikampaSiyo lazima umpikie boyfriend ila ni lazima kumpikia mume wa ndoa.
Dem akaona katoto kajirani kanacheza cheza akaniuliza Shem aka katoto kanaitwa kanani nikamwambia teddy akakaita Kaka fata mafuta dukan Shem akamaliza kupika tukala nikahmua kuchomoka zangu nikawahcha wakafany yao .. ad walivyo maliza ..
In short izi room rooting za maDem kushika ichi na ichi ndani huongeza interesting Sana zakimapenzi sema madem wengi awajui .. Yan utakuta Dem wako kama kamalaya flan ivi kenyewe Ni sex tu nakuomba Ela
Yule Dem wamshkaji alinipa deferent taste ya mapenzi aisee I felt like I got the real family beside me .
Videmu vyangu vikija geto hata avijali niku sex tu nakuomba Ela ndomana wanaume wengi huisi upweke licha yakua na mpenzi ..