Wanawake wa zama hizi wakija maghetoni hawafanyi usafi

Wanawake wa zama hizi wakija maghetoni hawafanyi usafi

Mimi wanaume wa kizazi hiki siwaelewi, wao mtu akimfulia nguo, kumpikia ndio wanaona ni upendo, hata kwenye ndoa nyingi zenye mgogoro ,mume katembea na housegirl, ni housegirl kufua,kupika, ndio sababu ya ndoa kuvunjika, huu ni ujinga hata maroboti yanaweza kufanya hivi..LOL...mnashangaza labda nyie ni version nyingine ya wanaume?!?,maanake wanaume wengine wanaangalia physical attraction and Chemistry nyie kupika, kufua daaah...
 
Mimi wanaume wa kizazi hiki siwaelewi, wao mtu akimfulia nguo, kumpikia ndio wanaona ni upendo, hata kwenye ndoa nyingi zenye mgogoro ,mume katembea na housegirl, ni housegirl kufua,kupika, ndio sababu ya ndoa kuvunjika, huu ni ujinga hata maroboti yanaweza kufanya hivi..LOL...mnashangaza labda nyie ni version nyingine ya wanaume?!?,maanake wanaume wengine wanaangalia physical attraction and Chemistry nyie kupika, kufua daaah...
Physical attraction muitoe wap ..wakati hzo k mnazitembeza kila mahali kwa tamaa za Iphone ,kutolewq out n.k mnachoka mapema
 
Ndugu zangu Wanaume Wapambanaji, huu uzi ni kwaajili yetu sote.

Hivi wale wanawake au wadada ambao walikua akija gheto anafanya usafi wa maana yaani atafua nguo zote, atapika, ataosha vyombo, atasafisha viatu, atapanga vitu gheto vizuri, atakunyooshea nguo zote atapanga vizuri kabatini. Atatoka nje atafagia uwanja atapanga vitu vizuri mwishoni anakupa na
Kwa taarifa yako huwa hawafanyi usafi bali wanakukagua
 
Ndugu zangu Wanaume Wapambanaji, huu uzi ni kwaajili yetu sote.

Hivi wale wanawake au wadada ambao walikua akija gheto anafanya usafi wa maana yaani atafua nguo zote, atapika, ataosha vyombo, atasafisha viatu, atapanga vitu gheto vizuri, atakunyooshea nguo zote atapanga vizuri kabatini. Atatoka nje atafagia uwanja atapanga vitu vizuri mwishoni

Ulichozungumza ni general sana na upo sahihi ila kuna mabinti wachache ambao wapo vizuri ila hawawezi tuu kujiongeza aka ni wazito wa kufanya vitu na hawana uzoefu.

Mfano mimi mke wangu enzi tukiwa wachumba anasoma hzo sec mi chuo alikuwa hivyo hivyo hadi umwambie, baadae akaanza kujitahidi, kwenye kupika kwao alikuwa hapiki wana house girl so hata kupika wali nilimfundisha mimi getto kwangu and by time tumeendelea mi nimemaliza chuo na yeye yupo chuo akawa anajitahidi sana and coz nilimpenda nikawa namwelekeza vile nnavyotaka akija awe anafanya and baadae akawa perfect kabisa na hadi leo hata nikiambiwa nirudie kutafuta mchumba nitamchagua yeye.

Japo kuna madem enz hizohizo walikuwa wanakuja full kushughulika mapishi mausafi yoteyote but you know the heart goes where it belongs!

So nashauri vijana ambao hamjaoa msimkatie tamaa demu kwa sababu tuu ya mambo haya madogo, kama unampenda mwelekeze vitu, mfundishe awe vile unavyomtaka. Mwanamke unaweza kumtengeneza vile unavyotaka wewe awe! Kuna maisha baada ya kazi za usafi na kupika, Listen to your heart more and take the brain with you too!
 
Ndugu zangu Wanaume Wapambanaji, huu uzi ni kwaajili yetu sote.

Hivi wale wanawake au wadada ambao walikua akija gheto anafanya usafi wa maana yaani atafua nguo zote, atapika, ataosha vyombo, atasafisha viatu, atapanga vitu gheto vizuri, atakunyooshea nguo zote atapanga vizuri kabatini. Atatoka nje atafagia uwanja atapanga vitu vizuri mwishoni anakupa na mbususuu safi unakula. Jion ataondoka zake. Yaani ukirud home unakuta hewa safi mpaka unafurahi.

Sasahivi Demu akija gheto ukimwacha utakuta nyumba kama ilivyo yani hana habari, kuna chakula ndani badala apike atakutumia text eti njoo na chips kuku nasikia njaaa. Hapo hapo bado atakuletea shida zake lukuki mara hiki sijui nini. Ukirudi atakwambia twende kidimbwi mara samakisamaki aiseee hatari sana. Ataposti mali zako aonekane anakaa sehemu nzuri mara snapchat huku whatsapp.

Ndugu zangu wanaume ukiona dem anashindwa jiongeza hakuna mke hapo we chapa potea ukijichanganya utakuja kulia. Short advise.
Wewe ukimpata wa hivyo piga pumb,,,u haffu banwa mkojo mkojolee usoni

Msindikize. Na futa namba zake

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke mwenye kujua umuhimu wa ndoa ndio tunaongelea hapa achana na hawa walioshindikana ndio watakwambia kwanza kwenye ndoa kunalipi la ziada na pata.
Kweli. Na iwe simulteaneous, apate mume mwenye kujua UMUHIMU wa ndoa .Siyo anaoa ili afuliwe tu nguo.
 
Wanaume wajinga sana ufanyiwe usafi ukiwa nani, wewe huna mikono au ni mlemavu, ka huwezi kufanya usafi unapoishi bado hujakuwa tayari kuwa baba wa familia, mke au mpenzi sio mfanyakazi wako loh

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Kwaiyo usafi wa siku moja imekua ndo Kama unamfanyia kila siku ? Sasa Dem kwa mwezi tuna meet Mara moja na maranyingi sikuiyo hukuta nimeshafanya usafi adi uvunguni .. kitendo chakusema baby before sijarud home acha nikupikie chakula chausiku .. utapungukiwa Nini ? kumbukeni sex nitendo kubwa kuliko ivyo vitu vidogo vidogo ..
 
Back
Top Bottom