PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu wangu ni balaa anafanya usafi mpaka anatamani kubomoa nyumba ajenge upya kumbuka ni civil engineer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu wangu ni balaa anafanya usafi mpaka anatamani kubomoa nyumba ajenge upya kumbuka ni civil engineer
Umeandika kwa hisia, pole sana dada ila endelea tu kutandika kitanda kila mkimaliza ka hakupi hela[emoji846]Tena yule dada baada ya huduma akaamua kutoa shuka n kutandika lingine kutokana n muda akashindwa kufua bado ni mmbaya tu huyo mtu wanaume mnaboa sanaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio mimi ingekua mm akii angetoa tu pesa kwa kumchamba woiiiUmeandika kwa hisia, pole sana dada ila endelea tu kutandika kitanda kila mkimaliza ka hakupi hela[emoji846]
[emoji23][emoji23][emoji23]mkitaka wa kuwafanyia kila kitu oeni acheni maneno mengi
Smile......
Life is amazing kaka.........
Tupo huku kidimbwi karibu sanaaaaa.....
Wanaume wajinga sana ufanyiwe usafi ukiwa nani, wewe huna mikono au ni mlemavu, ka huwezi kufanya usafi unapoishi bado hujakuwa tayari kuwa baba wa familia, mke au mpenzi sio mfanyakazi wako loh
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
MUACHE UCHAFU NYIE WANAUME........
UNARUNDIKA UCHAFU ILI MFANYIWE USAFI??????
MWANAUME ANAYESUBIRIA MSIVHANA WAJE AMFANYIE USAFI NI MCHAFU...MCHAFU....MCHAFU!!!!!!
ANYWAY...
Kaja kukufanyia usafi au kafata dudu???
Tunashukuru ile kampeini imefanya kazi vizuri
Sheria ni ile ile usifue,usipike,fata kilichokupeleka
Punguzo jazba, wewe ukiwa na tshs million 500 unaweza kumnunulia gari au kiwanja mume wako
Kwa taarifa yako wadada ninao date nao wanataka dushe Langu na muda wangu tu.. hivyo sitoagi hela ili nipate mwanamke suzie _barbie
NdioKutiwa DUDU ausiooo
aliyemleta dunianiUnachangia hela ya sabuni kidogo.Usipotaka kumtakatisha unataka nani amtakatishe?
Hahahaa daah, ilikuwa mwaka gani huo mkuu.Ndugu zangu Wanaume Wapambanaji, huu uzi ni kwaajili yetu sote.
Hivi wale wanawake au wadada ambao walikua akija gheto anafanya usafi wa maana yaani atafua nguo zote, atapika, ataosha vyombo, atasafisha viatu, atapanga vitu gheto vizuri, atakunyooshea nguo zote atapanga vizuri kabatini. Atatoka nje atafagia uwanja atapanga vitu vizuri mwishoni anakupa na
Uchafu ndo asili ya mwanaume,
Karibu sanaaaa... jisikieeee upo nyumbaniNimetoka sa9 usiku hapo
Karibu sanaaaa... jisikieeee upo nyumbani
Ndio
Chinekeeeeeeeeeeee..... Haya bhn ukija niulizieeee nije nikufanyieee usafi kwakooooPale mimi ni nyumbani ukiwauliza wale wahudumu wote wananijua kwa jina la MJUBA wanazijua show zangu
Chinekeeeeeeeeeeee..... Haya bhn ukija niulizieeee nije nikufanyieee usafi kwakoooo