joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,039
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena bila manung'uniko [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena bila manung'uniko [emoji1787][emoji1787]
Safi sana!!Kuna wadada wa kampuni za usafi, waite wakufanyie usafi kama we hauwezi kufanya.....
Kila.mbuzi atakula kulingana na urefu wa kamba yake
[emoji38][emoji38][emoji38] Binti wa watu una mpa tu vipesa vichache chache ulafu unategemea return kubwaaa?
😀Tunashukuru ile kampeini imefanya kazi vizuri
Sheria ni ile ile usifue,usipike,fata kilichokupeleka
Siyo lazima umpikie boyfriend ila ni lazima kumpikia mume wa ndoa.Umpikie boyfriend wako chakula, usipotaka kumpikia, unataka nani ampikie? suzie _barbie
Sio lazima kumpa hela girlfriend, ila ni lazima kumpa hela mke wa ndoa suzie _barbieSiyo lazima umpikie boyfriend ila ni lazima kumpikia mume wa ndoa.
We nae hela hela , Unahongaga shingapi?Kama sio hela za bure, tunavowapa hizo hela huwaga mnatuuzia nini? Habun
Basi usimpe, utasaidiwa majukumu yako na wana.Sio lazima kumpa hela girlfriend, ila ni lazima kumpa hela mke wa ndoa suzie _barbie
Punguzo jazba, wewe ukiwa na tshs million 500 unaweza kumnunulia gari au kiwanja mume wakoWe nae hela hela , Unahongaga shingapi?
Wanaohonga magari, majumba,viwanja wametulia tuli.
Sawa.HongeraPunguzo jazba, wewe ukiwa na tshs million 500 unaweza kumnunulia gari au kiwanja mume wako
Kwa taarifa yako wadada ninao date nao wanataka dushe Langu na muda wangu tu.. hivyo sitoagi hela ili nipate mwanamke suzie _barbie
Basi usimpikie boyfriend wako, utasaidiwa majukumu yako na wanawake wenzio suzie _barbieBasi usimpe, utasaidiwa majukumu yako na wana.
Fresh tu, hata tukiwa 10 kwenye list.Basi usimpikie boyfriend wako, utasaidiwa majukumu yako na wanawake wenzio suzie _barbie
Tena yule dada baada ya huduma akaamua kutoa shuka n kutandika lingine kutokana n muda akashindwa kufua bado ni mmbaya tu huyo mtu wanaume mnaboa sanaaaaJe mfano ww mwanaume umemuomba girlfriend wako aje akutembelee ajue unapoishi for the 1st tym then baada ya kufika ukampokea kwa mwashtete zotee mkaingia ndani ukaagiza chakula mkala pengine mkajiongeza mkafanya mlichofanya baadae yule dada anaamua kutaka kurud kwao then ukamuaga tena kwa hug tuu bila hata nauli ya kumvutia next aje unadhani ni haki hiyo au nisawa kweli ajitegemee yy kila kitu??