Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Umpikie boyfriend wako chakula, usipotaka kumpikia, unataka nani ampikie? suzie _barbieUnachangia hela ya sabuni kidogo.Usipotaka kumtakatisha unataka nani amtakatishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umpikie boyfriend wako chakula, usipotaka kumpikia, unataka nani ampikie? suzie _barbieUnachangia hela ya sabuni kidogo.Usipotaka kumtakatisha unataka nani amtakatishe?
Amen kubwa!!!😁Mwambie watoaji pesa ndiyo tunafanyiwa usafi.
Desperate for marriage mnakuwaga nayo mkifikisha 30+Akifanya hayo yote mtaanza kusema yuko desperate for marriage.
Kila mtu ashinde mechi zake ..
Mkiamua kuwa wapenzi (I mean wapenzi wa kweli). Suala la kusafisha nyumba ni la kufanya out of luv sio kama adhabu au kazi. Ni bahati mbaya mahusiano mengi yanabakia kuwa sex partnership.Kama unataka wa kusafisha geto inabidi uoe sio binti wa watu katoka kwao kafanya mikazi kibao na aje kwako pia afanye na hizo ngono zenu[emoji57][emoji57]mfanye [emoji849]baba unapajua leba?
After all kuwa desperate kwa ndoa sio ulemavu if at all ni Kitu unawish kuwanacho na hakijaja kwa muda mwafaka. And if you are not desperate why should you be ashamed of it on the first place.Desperate for marriage mnakuwaga nayo mkifikisha 30+
[emoji23][emoji23][emoji23]mkitaka wa kuwafanyia kila kitu oeni acheni maneno mengiMkiamua kuwa wapenzi (I mean wapenzi wa kweli). Suala la kusafisha nyumba ni la kufanya out of luv sio kama adhabu au kazi. Ni bahati mbaya mahusiano mengi yanabakia kuwa sex partnership.
Vitu havitokei tu. kuoa kunahitaji muda na maandaalizi. Hoja yangu ni kuhudumiana/kutendeana kwa wingi. Kuna shida gani kufanya usafi,n.k kwa mtu aunayempenda I mean prospective husband. And If at all mtu uko willing to offer your body for sex ambacho ni kitu kikubwa zaidi compared to vitu kidogo kama kusafisha nyumba, kupika, n.k.[emoji23][emoji23][emoji23]mkitaka wa kuwafanyia kila kitu oeni acheni maneno mengi
Mmmmmh [emoji849][emoji849][emoji849] na kuna mtu mwingine ukishaanza kumfanyia hivyo ndio anajisahau kabisaaa kama hajaoaVitu havitokei tu. kuoa kunahitaji muda na maandaalizi. Hoja yangu ni kuhudumiana/kutendeana kwa wingi. Kuna shida gani kufanya usafi,n.k kwa mtu aunayempenda I mean prospective husband. And If at all mtu uko willing to offer your body for sex ambacho ni kitu kikubwa zaidi compared to vitu kidogo kama kusafisha nyumba, kupika, n.k.
Tena bila manung'uniko [emoji1787][emoji1787]Mwambie watoaji pesa ndiyo tunafanyiwa usafi.
Baba yako ni mwanaume, therefore ni mjinga sana.Wanaume wajinga sana ufanyiwe usafi ukiwa nani, wewe huna mikono au ni mlemavu, ka huwezi kufanya usafi unapoishi bado hujakuwa tayari kuwa baba wa familia, mke au mpenzi sio mfanyakazi wako loh
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Na wewe uko desperate na ndoa kama mleta mada? Umefikisha 30+ na hujaolewa? Tafadhal wahi kanisani kwa nabii uombewe utapata mumeAfter all kuwa desperate kwa ndoa sio ulemavu if at all ni Kitu unawish kuwanacho na hakijaja kwa muda mwafaka. And if you are not desperate why should you be ashamed of it on the first place.
Wanaume wanaofikiria kufanyiwa kazi na wanawake hao ni wajinga unfortunately my daddy hujifanyia mambo yake mwenyeweBaba yako ni mwanaume, therefore ni mjinga sana.