Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #101
Hapana napenda pussy
Tumeenda vzr umeanza kuharibu🥷[emoji2532]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana napenda pussy
😅Tumeenda vzr umeanza kuharibu🥷[emoji2532]
Kwa kuwa mwenye gheto mlemavu
[emoji28]
Siku moja moja sio mbaya ila sio niende nikasafishe gheto, sijui nifue, nioshe vyombo. Ukitoka hapo analetwa mwingine. Aaah weee bora uninyonge. Wakati huo mwenyewe gheto langu nimeliacha liko hoi hulo linanihitaji sijalihudumia.Kuna shida ukinipikia hata kapilau?
Hii conclusion umeifikiaje Mkuu?itoshe tu kusema sio sahihi.Na wewe uko desperate na ndoa kama mleta mada? Umefikisha 30+ na hujaolewa? Tafadhal wahi kanisani kwa nabii uombewe utapata mume
Nyie c mnawaza hela tuu, ...afu majukumu yetu hamyaweziTena yule dada baada ya huduma akaamua kutoa shuka n kutandika lingine kutokana n muda akashindwa kufua bado ni mmbaya tu huyo mtu wanaume mnaboa sanaaaa
Kuwa omba omba ndo mnachowezaWanaume wajinga sana ufanyiwe usafi ukiwa nani, wewe huna mikono au ni mlemavu, ka huwezi kufanya usafi unapoishi bado hujakuwa tayari kuwa baba wa familia, mke au mpenzi sio mfanyakazi wako loh
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Daaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana napenda pussy
Usinifokee mkuu😂 hata sisi magheto yetu ya samani nzuri tu, haina haja ya kuja kupigia picha kwenu🤪Tunatafuta pesa tununue mali zetu mzi post Instagram, WhatsApp na Snapchat muonekane mnakaa mahali pazuri. Tumeelewana?
Duh, ana post hadi mali zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Anaweza akafanya hayo yote bado ukamuona anajipendekeza ili aolewe, afu kwanini usifanye usafi bana mwenyewe, acheni kujidai walemavu wanaume nyie fanyeni usafi[emoji2960]
Kinachotuumiza zaidi kwanini mki post mali zetu mnajifanya ni zenu? Muwe mna acknowledge basi uki post mali zangu unasindikiza na caption inasema 'thank you Sarri' you're so amazing Sarri'. Ama nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Well said I appreciate youAice, cdhani kama mabint wote ni wadizain hiyo uloitaja..pengine inategemea umekutana nae club au bar utegemee aendane na hizo itkadi ulizo ainisha hapo juu, hatoweza utakuwa unampatia majukumu ya mke wakat yeye ni wa usiku mmoja.
#We mtolee posa upate hizo huduma kama hujatoa basi usimchoshe mke mtarajiwa wa mwenzio ambae wewe humjui.
Gracias mi Amiga preciousdebbie.Well said I appreciate you
Sheria zetu hakuna kutaja mtu 😂😂😂Kinachotuumiza zaidi kwanini mki post mali zetu mnajifanya ni zenu? Muwe mna acknowledge basi uki post mali zangu unasindikiza na caption inasema 'thank you Sarri' you're so amazing Sarri'. Ama nini [emoji23][emoji23][emoji23]
AMEN!!!😁😎After all kuwa desperate kwa ndoa sio ulemavu if at all ni Kitu unawish kuwanacho na hakijaja kwa muda mwafaka. And if you are not desperate why should you be ashamed of it on the first place.