Wanawake wajibikeni kwa jamaa zenu, hakuna tatizo la nguvu za kiume

Wanawake wajibikeni kwa jamaa zenu, hakuna tatizo la nguvu za kiume

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Chanzo cha kuandika haya ni utafiti wangu binafsi why nilikuwa naishia kamoja tu? Katika kuzunguka zunguka kwangu nikakutana kabinti fulani tukawa marafiki tukajihusisha katika mapenzi motomoto, tatizo langu lile la kuishia kamoja hakika mwanamama alilipatia utibabu sahihi kabisa maana ninapomaliza, mwanamama huanza shughuli maalumu ya kucheza na kajogoo kwa mikono yake laini kweli hakika hazipiti dakika 10 mashine huanza kazi kwa nguvu za ajabu sana, nimelishuhudia hili live.

Akina mama wajibikeni wanaume bado tupo fits kwelikweli kutowajibika kwenu mnatulaumu waume zenu.

WAJIBIKENI AKINAMAMA.
 
Nakubaliana na wewe.unajua sisi wanawake wa siku hizi Ni tofauti na mabibi zetu.Siku hizi Ni vuruvuru,kuanzia mapokezi ya mume Hadi kitandani😭😭😭😭😭😭😭
Aisee......
 
Nakubaliana na wewe.unajua sisi wanawake wa siku hizi Ni tofauti na mabibi zetu.Siku hizi Ni vuruvuru,kuanzia mapokezi ya mume Hadi kitandani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Khaaa[emoji23][emoji23]
 
Chanzo cha kuandika haya ni utafiti wangu binafsi why nilikuwa na naishia kamoja tu? Katika kuzunguka zunguka kwangu nikakutana kabinti fulani tukawa marafiki tukajihusisha katika mapenzi motomoto, tatizo langu lile la kuishia kamoja hakika mwanamama alilipatia utibabu sahihi kabisa maana ninapomaliza, mwanamama huanza shughuli maalumu ya kucheza na kajogoo kwa mikono yake laini kweli hakika hazipiti dakika 10 mashine huanza kazi kwa nguvu za ajabu sana,nimelishuhudia hili live.

Akina mama wajibikeni wanaume bado tupo fits kwelikweli kutowajibika kwenu mnatulaumu waume zenu.

WAJIBIKENI AKINAMAMA.
UJUMBE UWAFIKIE
 
Nilishawahi leta uzi hapa wakaponda kuwa na wao wawajibibike, unakuta li mwanamke liko ku kupiga mauno likinaliza linakuwa kama halijui linako hapo kufana nini
 
Wanasema tuongeze yale malipo ya uchakavu...

Tuache kutoa tips za nauli na 20k ya uchakavu pale wanapoondoka makwetu..

Mengine watajazia wenyewe.
 
MMwanaume aliye sawa mashine husimama bila kulazimishwa 😂😂😂

Pia kuna uume kulegea wakati wa tendo, kuwahi orgasm haya yote ni matatizo ya nguvu za kiume

Ukiwa unakula Chipsi yai, soda na juice then ushindwe kuperfom umsingizie mwanamke?
 
sasa hukutakiwa kukaita kajogoo kama vile bado kanyonge.

Iite hata mninga jimwambafy nani atajua kama unatufix.
 
Back
Top Bottom