Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Kama uliwahisikia yale maandiko yanayosema "Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti." Hii nayo ni maana yake sasa👇


Yaani mwanaume unaacha mkeo nyumbani unaamua kuchepuka.. Kule unakochepukia unashindwa kuulipa mchepuko malipo yake, unapigwa na mchepuko, marafiki wa mchepuko nao wanakupiga, unakatwa uume, unatibiwa kisha unawekwa ndani kwa kosa la kudaiwa malipo ya uzinzi......

Uukitoka huko ndani/ police unakuta mchepuko na team yake wamewalipa wanaume wenzio wakupige tena🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

Muwe na sabasaba njema yenye furaha, utulivu na amani
 
Ingekuwa ni mimi unikate nanihii...wala siendi polisi ningedili nao kimya kimya, maana sina cha kupoteza🔪💀⚰️
 
Makahaba wanawake wameamua kushirikiana kumhuku mteja wao ambaye ni mwanaumeKahaba tapeli😂😂

Au wanaume wenye hizi tabia wanaitwaje Asprin?
Mwanamke wa kweli hujistahi. Hawezi kujidhalilisha namna hiyo. Trust me...

Huyo wa kiumeni naye malaya tu. Mwanaume wa kweli hanunui uchi kwa kahaba... anajivinjari na papuchi za wanawake wa shoka...
 
Mwanamke wa kweli hujistahi. Hawezi kujidhalilisha namna hiyo. Trust me...

Huyo wa kiumeni naye malaya tu. Mwanaume wa kweli hanunui uchi kwa kahaba... anajivinjari na papuchi za wanawake wa shoka...
Sure, Ila wanaume hamtabiriki!! Ikifikia mnataka kuchepuka hata mpate mke kama huyu MKE WA KITANZANIA hapa bado mnachepuka tuu


 
Back
Top Bottom