Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

Ushiriano katika hali yoyote na popote. Wenye wanawake wawili halali kwenye ndoa wanaelewa wakipendana kwa dhati nini kinatokeaga😆😆
Ngoja jamaa aoe mke wa tatu😁maji lazima aite wateri
 
Sure, Ila wanaume hamtabiriki!! Ikifikia mnataka kuchepuka hata mpate mke kama huyu MKE WA KITANZANIA hapa bado mnachepuka tuu


View attachment 1844130
Kuchepuka lupo sana tu sijakataa. Lakini mwanaume mwerevu huangalia mwanamke wa kuchepuka naye. Kwa mfano namna navyokusoma hapa, wewe unafaa kabisa kuwa mchepuko wangu (Baba D hatajua, usiogope)
 
Si umeona sasa? Hata wewe unaona aibu kucharanga kikojoleo cha watu ukigeuze soseji... kwa maana nyingine ushapingana na huo uharamia wa makabaha mabandidu

Hilo ni tendo la kikatili sana, kama tuu kumbaka mtu
Sasa nashangaa aliyefanyiwa ukatili ndio aliyeshtakiwa...... dah

Wanaume Tafuteni Pesa🙌🙌🙌🙌
 
Hilo ni tendo la kikatili sana, kama tuu kumbaka mtu
Sasa nashangaa aliyefanyiwa ukatili ndio aliyeshtakiwa...... dah

Wanaume Tafuteni Pesa🙌🙌🙌🙌
Tutafute pesa kwenye papuchi? Kwani hiyo njemba si ndo ilikuwa imeenda kutumia pesa iliyoihangaikia kwa jasho na damu?

Wakati wengine tukijivinjari na K Vant kuna mashujaa wana kipaji cha kujivinjari na vikojoleo...
 
Kama uliwahisikia yale maandiko yanayosema "Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti." Hii nayo ni maana yake sasa[emoji116]

View attachment 1844110

Yaani mwanaume unaacha mkeo nyumbani unaamua kuchepuka.. Kule unakochepukia unashindwa kuulipa mchepuko malipo yake, unapigwa na mchepuko, marafiki wa mchepuko nao wanakupiga, unakatwa uume, unatibiwa kisha unawekwa ndani kwa kosa la kudaiwa malipo ya uzinzi......

Uukitoka huko ndani/ police unakuta mchepuko na team yake wamewalipa wanaume wenzio wakupige tena[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]

Muwe na sabasaba njema yenye furaha, utulivu na amani
Dunia inaenda kasi Sana, anyway pole kwa kutendwa
Na uache ndoto hizo pameshakuja


Ni kituo gani hiko cha polisi kinakuweka ndani kwa kudaiwa hela ya uzinzi?
 
Back
Top Bottom