Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Sasa mbona mnaongelea 30+ as if ndiyo wamechoka kwa uzinzi na wote walioolewa mapema waliolewa mabikra?. Point yangu ilikuwa kwamba kuolewa mapema haimaanishi ya kwamba ndiyo una tabia njema na hujatumika sana. Na kuwa single at 30s hakumanaishi kwamba una tabia mbaya na umetumika sana as wengi mnavyojumuisha humu.
 
Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
sio kweli...hata awe tajiri vipi mwanamke anahitaji mwanaume wake ..soma Psychology vizuri ..

Hakuna cha utajiri,sijui afya njema....issue hapo ni partner.

Mwanamke wa age ya 18 mpaka 25 hivi wanamahitaji mengi,,, pia wanahitaji uhuru zaidi...so anahis kuwa na mtu juu yake bado ni mapema

Mwanamke anaaza kutuliza akili kuanzia 29 na kuendele hapo ndio anona umuhimu wakua na mtu ambae ni nguzo yake ambae ni mwanaume...

Wanakuwa so desperate na ndoa...ukigusa tu anataka uende kwao.

sasa tatizo la kizazi hiki hata wanaume wanataka kulelewa hasa mkoa wa Dar.
 
Nlitaka nkwambie karibu JF ila kuangalia umejiunga lini nkaona ni way back b4 I did.

You are The dr. Genius
 
Hamna mtu anayesema kwamba ukiolewa under 30 kuwa wewe ni bikra. Hapa probability ni kwamba the longer tit takes wewe kuolewa the greater the probability kuwa umeonja nyingi sana
 
Nlitaka nkwambie karibu JF ila kuangalia umejiunga lini nkaona ni way back b4 I did.

You are The dr. Genius
Huwa sichangii mada mara kwa mara
Hata jf nlijiunga after 3yrs yakuperuzi
Toka 2013 sjaandika zaidi ya mara 200
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tatizo bupa zao zinakuwa zimepigika sana. Pige hesabu on average anagegedwa na dyu dyu 3 kwa mwaka forom age 22 mpa hiyo 35 sii kashaonja migegedo 39
Hahaha, mkuu hizi hesabu zako ni hatari sana.
 
Nn kifanyike ili wasifikie hatua hii ya kutia huruma,?
Shida kuu zaidi kwa Wanawake kitendo cha wao kuwa too much selective kina wakosesha Wanaume sahihi na badala yake wanaingia kwenye Wanaume wahuni wa mjini unakuta mwanamke unajua huyu mwanaume ni malaya kwasababu Eti ni tall, darkest na handsome basi na wewe unajipeleka kwa kuamini atabadilika ukishapigwa matukio na kuzalishwa na ukaachwa ndio akili inakuja ushauri wangu wapunguze kuwa selective Sana itawasaidia mbona kuna Wanaume wengi tu wanaojitambua
mawardat
Heaven Sent
QueenDeby
Lenie
 
Duh
 
Hahaha, mkuu hizi hesabu zako ni hatari sana.
Hahaha hizo ndio minimum mkuu....hali ni mbaya sana wazee...ndio maana watu wanatumia matango maana wanaona migegedo yetu ni vibamia
 
Vitumbo kweli nakubaliana nawe ila kwenye wowowo hapana.
Wapo wanawake wana wowowo na flat stomach tuu and they glowing.
 
Huwa sichangii mada mara kwa mara
Hata jf nlijiunga after 3yrs yakuperuzi
Toka 2013 sjaandika zaidi ya mara 200
πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimekukubali chief. yale madini yanaweza temwa na mtu ambae yupo vizuri kichwani.
 
Umeongea kwa hisia sana dada.
Kuna jambo ambalo haliko sawa katika mjadala huu, kila mmoja ametoa mtazamo tofauti au hata mtazamo wa jumla zaidi.

Yangu ni haya;
1. Nakataa kuwa mwanamke akivuka 30 hafai tena.
Wanaosema hivyo wengi wana mtazamo wa kingono zaidi ya mahusiano ya mke bora kwani ubora wa mtu sio miaka.

2. Sio sahihi kusema ati kila mwanamke unayemtaka akukubali...hii sio sawa kila mtu ana matarajio na matakwa binafsi ya mme amtakaye...hivyo mwanaume akikataliwa ni sahihi.
Kusema ati ana hali mbaya sababu alikukataa ni utoto na kisasi cha kijinga.
Mwanamke anatongozwa na wengi kila siku lkn bado naye ana haki amkubali nani na amkatae nani.

3. Mwanamke kufikia 30 hii haimanishi hafai...tena wanawake jinsi wanavyokua ndivyo baadhi yao wanakuwa bora...watulivu katika ndoa, washauri wazuri kwa wenza na umri huo unafaa sana kwa malezi ya watoto na mume.
4. Mwisho kabisa...kila mtu ana majira yake hivyo hawawezi kuolewa under 30 wote.
 
Hamna mtu anayesema kwamba ukiolewa under 30 kuwa wewe ni bikra. Hapa probability ni kwamba the longer tit takes wewe kuolewa the greater the probability kuwa umeonja nyingi sana
Usikariri mkuu, wengine wameolewa lakini wanachezea migegedo mipya kila kukichwa. Kinachotakiwa uwe umeolewa au hujaolewa ujiheshimu na uthamini mwili wako.
 
Hii ya kulaaniana iko pande zote
 
Wakati na Bahati........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…