Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Kwani kinacho semwa hapa mini?
 
Imekuuma na ww ni mhanga nini?
 
Na ukianza kufa wewe au huyo mwanamke? You are so proud na kupanda kwenye shamba la mwenyewe; watoto wawili ambao inawezekana hadi unakufa haitotokea wakuite baba; hamna huruma na damu zenu?
 
Aissee nimesoma habari nyingi humu ila hii duuu nakosa cha kusema
 
Nyie kweli bitterness inamuumiza zaidi aliyeibeba kuliko aliyebebewa. Imagine mtu uliachwa huko zamani, umeendelea na maisha yako, Mungu kakujaalia umepata mke; hadi unaanza kufuatilia yanayoendelea kwenye maisha ya ex: upo fulfilled/contented na maisha yako kweli? Mbona ni kama pamoja na vyote ulivyonayo bado huna furaha/ kuna kitu kinamiss na ndiyo huyo ex unayekaa kumfikiria badala ya kuwafikiria watoto wako na wanao?

Ok ex alikukimbia, sasa hivi amezalishwa na hajaolewa; kwako wewe binafsi inakuongezea nini? Kwamba it makes you a better person than her? Angekuwa ameolewa, usingekuwa a better person?
Seriously mume wa mtu unasikia ex wako kazalishwa eti unatafuta kumtega ili tu akionesha kukutamania upate furaha, ujione wewe ndiyo umeyapatia maisha.... Kweli uchungu unapunguza hata uwezo wa kufikiri.

Kuzalishwa ni mwisho wa maisha au ni ulemavu useme kwamba eeh sasa kapatikana?. Mbona mtoto ni baraka kubwa mnooo; married couples kibao wanahangaika kutafuta watoto. Nikute mume wangu anafanya huo utopolo, mbona ntamrudisha kwao akapumzike kwanza apate na akili[emoji16][emoji16][emoji16]

Tujifunze kusamehe, tusonge mbele kwa amani na maisha yetu. Otherwise tutabarikiwa wee ila hatuto-appreciate baraka zetu maana tupo busy kusubiri mabaya yawapate wale waliotuacha. Sad.
 
Kuna watu wapo 30s na hawajawahi kuguswa hata mara moja kweli? Mmmh

Sema wa namna hiyo hapana aisee, mtu akiwa 30s awe na experience kidogo bwana[emoji3][emoji1787]
 
Kwa wale waliojifanya wa level za juu na kukataa wliowapenda! Ukiona unakuchoma jua kuwa nawewe ni mmoja wa walengwa.
Ahsante baba ziba , nimeyapokea matokeo ya matendo yangu ya kujifanya level za juu na kuwakataa walionipenda, nini kifanyike sasa kuninusuru ndugu yako? Au unaniacha niteseke??
 
Na ukianza kufa wewe au huyo mwanamke? You are so proud na kupanda kwenye shamba la mwenyewe; watoto wawili ambao inawezekana hadi unakufa haitotokea wakuite baba; hamna huruma na damu zenu?
Maisha Kamari.
 
Kuna watu wapo 30s na hawajawahi kuguswa hata mara moja kweli? Mmmh

Sema wa namna hiyo hapana aisee, mtu akiwa 30s awe na experience kidogo bwana[emoji3][emoji1787]
[emoji23][emoji23] naona umeanza na kunicheka. Kweli wapooo. Unafungua bokx mwenyewe [emoji2957]
 
Ila tuache utani wanawake aged ambao umri umeenda ni watamu na akili ziko tayari kimaisha kuliko hivi vitoto vidogo!

Mimi Nina asilimia kubwa Sana ya kuoa MTU nzima.

NB: Msije kukupigia mawe wanaume wenzangu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…