Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Usahihi wa mtu ni upi?

Kubali tu wanawake wengi walioshindwa kuolewa walijipa mategemeo makubwa na waliwakataa wanaume waliohitaji kuishi nao..


Mungu huyu acheni tu! Acha waendelee kula jeuri yao
Kweli kabisa. Humu jf kuna watu wanashusha nyuzi kama wanatuona. Nina wanawake wawili mimi kazi yangu kuwapelekea moto tu ninapohitaji. Nilitaka kuishi nao wakanikataa. Ilikuwa ni nyakati tofauti. Sasa sijui.wamestuka nini, mimi nilishawatoa kwenye mawazo wao ndio wanakuja kichwa kichwa. Nikaona isiwe tabu. Basi nikijisikia naita tu nampiga nao basi anaenda. Sualq la kuishi limeshatoweka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa. Humu jf kuna watu wanashusha nyuzi kama wanatuona. Nina wanawake wawili mimi kazi yangu kuwapelekea moto tu ninapohitaji. Nilitaka kuishi nao wakanikataa. Ilikuwa ni nyakati tofauti. Sasa sijui.wamestuka nini, mimi nilishawatoa kwenye mawazo wao ndio wanakuja kichwa kichwa. Nikaona isiwe tabu. Basi nikijisikia naita tu nampiga nao basi anaenda. Sualq la kuishi limeshatoweka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ndio lilobaki kufanya kaka. Wao wakiileta unasasambua mbususu basi.
Hao walishaonyesha hawafai kwa matumizi mingine zaidi ya ngono
 
Wanawake wanaolewa mpaka 35. Mm nimeshuhudia. Wengine wanaachwa na watoto leo kesho posa mpya inapelekwa na ndoa mpya inafungwa. Maisha hayapo fixed, kila mwanamke ni unique kwa namna yake. Tusihitimishe, exceptional zipo tena za kutosha. Hao vilizi wa ndoa mnao kutana nao kila sehemu wanatakiwa kubadili fikra.

Binafsi nilikutana na mama watoto akiwa katika pilika za kukuza kipato na alikuwa mtu mzima tayari, above 30 na mm nikiwa na siasa zangu za maisha, leo tuna mitoto mikubwa na ndoa ipo imara hatuna tatizo.
Mkuu kinachozungumziwa hapa ni number tu haimanishi kuwa hawapo ila ni wachache mno
 
Ukiona mwanamke ana miaka 27 kachoka huyo ni wa kuonea huruma aisee, akifika 35 si atakuwa mzee. Ila wanawake wa Afrika tunajizeesha aisee, tunakula bila mpangilio, mazoezi ziro, vitambi, wowowo utaacha kuzeeka. Wengine tuko 42 lakini utajua bado wasichana. No tumbo, ziwa kama vile hujanyonyesha. Natural face , no artificial hair . Tunafanya kazi na wazungu, boss wetu yuko 65 lakini ukimuona tumbo flat na akivaa nguo utapenda. Kuja kwa wabongo sasa, yaani utadhani kila siku wajawazito loh.
Bado kama hujaolewa unaoneka kuwa muhuni kwa Africa haijalishi uko je ila kama huna ndoa thamani yako ni 0
 
Nimeshuhudia mara 2, ya kwanza ana miaka 40 kaolewa tena ndoa ya kanisani Kwa mara ya kwanza, Hana mtoto ata 1.

Mara ya 2 ndoa ni mwaka huu mwez wa 10, mwanamke ana miaka 33 Ila ana mtoto mmoja. Haya mambo hayatabiriki bhn lkn kutwa kukaa na kuwasema wanawake kuwa walipoteza bahati

Je wale ambao wanavumiliwa Toka hawana kitu, mpaka anakuja kuwa na kitu, alafu akishainuka anakuja kuolewa mtu mwengine, yule aliyevumilia tabu na shida anaonekana mchafu ananuka, Hana thamani tena. Lkn hili wanaume hawaliongelei kbs. Unamsubiri Mtu 5 to 6 yrs unavumilia shda zote lkn siku akipata mafanikio unastukia anaolewa mwenzio, tumeshuhudia sn tu izi mambo lkn si wanaume wote Wana hizi tabia.

Wanawake wengine mnawasingizia tu kuwa eti alikuacha kisa huna kitu, je? Hao wote mlikuwa na Nia ya kuwaoa jamani?, Sio mwsho wa siku umepata mafanikio unamuona hajui kutumia unamtft yule mtu ambaye hajui ata izo pesa umetumia nguvu gani kuzitafuta.

Na elewa kuwa usitake Kila mwanamke akakuelewa maana Kila mtu ana aina ya mtu anayemtaka, maana ata wanaume Wana watu wanaowataka, mala namtaka mwenye kiuno mbinuko, mala namtaka mwenye wowowo, mala namtaka mwembamba na apo Kuna wengine mnawachezea tu. Anafikisha mpk 28 yrs anakusubr ww but end of the day unamkacha unaenda oa mwengine.
Hao wengine mnaumia kwasbb mliwapenda, laiti ungekuwa humpendi bs ata usingekuwa na muda wa kumkumbuka usingekuwa nao. Ni kweli Kuna wadada Wana majibu machafu ambayo si vzr kumjibu mtu km humpendi na Kuna wengine huwa wanapoteza bahati wenyewe Kwa kuwakataa hao wanaume wenye malengo nao kiukweli. Uwe unacho, uwe huna km amekukataa bs jua hakupendi na hukupangwa kuwa nae usifosi, lakini km umempata wa kupendana nae Dunia hii ni jambo la kushukuru Mungu, dumisheni penzi lenu tu lkn mambo ya kuzogoana kuhusu umri si vyema. Kila mtu ana wkt wake wa kuanzisha familia yake.
Hapa wa nazungumzia ndoa sio uchumba sugu mtu sahihi ukiondoa hisia na kutumia akili utamjua tu japo binadamu wanabadilika kulingana na mazingira ila kwenye vigezo ndipo wanawake wengi wafail wanaume wengi tu natamani wanawake wa muonekano na tunajua kabisa kuwa your beauty is temporarily.
 
Bado kama hujaolewa unaoneka kuwa muhuni kwa Africa haijalishi uko je ila kama huna ndoa thamani yako ni 0
Nyie ndio lnawafanta wanawake waingie kwenye ndoa za mateso kwa kuitizama jamii. Thamani ya mwanamke haishuki sababu kaolewa au hajaolewa. Kujiheshimu na mchango wako kwa jamii ndio vinaleta heshima.
 
Nyie ndio lnawafanta wanawake waingie kwenye ndoa za mateso kwa kuitizama jamii. Thamani ya mwanamke haishuki sababu kaolewa au hajaolewa. Kujiheshimu na mchango wako kwa jamii ndio vinaleta heshima.
Mkuu kama hukuweza kupitia kwenye ndoa huyo thamani yake ni sifuri, hakuna taasisi ngumu kuiongoza kama ndoa kwa jinsia zote mbili ndoa ni heshima mkuu sema kwa asilimia kubwa wanawake wanafail sababu wanatumia sana hisia kuliko akili. Wengine shida ndio zinawapelekesge
 
Mkuu kama hukuweza kupitia kwenye ndoa huyo thamani yake ni sifuri, hakuna taasisi ngumu kuiongoza kama ndoa kwa jinsia zote mbili ndoa ni heshima mkuu sema kwa asilimia kubwa wanawake wanafail sababu wanatumia sana hisia kuliko akili. Wengine shida ndio zinawapelekesge
Aaa wapi. Ndoa zenyewe hizi ambazo nyingi zimeshakufa, talaka kila kukicha. Thamani ya mtu sio kuolewa , kuna waliooa au kuolewa na hawaheshimiki. Oa au kuolewa ukipata mwenza sahihi na sio kwa ajili ya kupata heshima.
 
Back
Top Bottom