Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Kwa hiyo unaoa kwa kuangalia sura?[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Sura nayo muhimu tusije zaa mazombi. Vigezo vyote vikiwepo sio mbaya
 
Mkuu ukiwa ma cheo na heshima sio kuwa watakuheshimu hapana watakuwa wanafiki kwa sababu unauwezo wa kufanya kitu, yote kwa yote kwa tamaduni zetu ndoa ni jambo la heshima sana japo tunalichulia kwa wepesi
Sure mkuu
 
Maisha yanapaswa kubadilika. Sasa unataka wanawake waishi maisha sawa na babu/baba zao?

Ndiyo maana wanataka mtu atakayewapandisha hatua Fulani mbele zaidi.

Mm nina 31 lkn wanaume wanaruka na kukqnyagana wakinitafuta
Mhh wewe😇

We KE au ME?
 
Mi binafsi niweke tu wazi females above 30 ndio interest yangu.
 
Mi nikipata kahela ka kununua zile juisi ya kufyonza kwa mrija tu hewalaaa. Nasikia raha kwerikweri
 
Tunazunguka weeee lakini ukweli unabaki kwamba kinachomfanya mwanamke awe mke ni "submissiveness" yaani "utii" sio umri wala makololokolo mengine haya ninayoyasikia sikia yakitajwa. Ile hali ya Mwanamke kujua kwamba anapaswa kujikabishi kwa mamlaka ya mume ndiyo waoaji wengi wanaitafuta sana wanaposaka Mke.

Mwanamke yeyote (bila kujali vigezo vya kijinga jinga kama umri n.k) ambaye analitambua na kuliishi hili maishani mwake huyo kupata wa kumuoa its just a matter of time.

Wanaume wenzangu,nani hapendi raha ya kufanywa "Mfalme" kwenye "Empire" yake?. Shida wanawake wengi bila kujali umri wamepotoshwa na propaganda za kihuni za dunia hii badala ya kushikamana na mafundisho matakatifu ya Muumba wao.

Mwanamke mwenye submissiveness ukigusa unanasa mazima. Unamwachaje mwanamke anayekufanya ujione mfalme aisee?.

Kuna binti mmoja huyu namfanyia assessment moja matata sana na kama ataendelea kunitreat kifalme hivi naandaa fungu mwaka huu sitakubali uishe naweka ndani chap ili nijinenepee zangu niwe naitwa "Ticha Bonge".

ANGALIZO; Ikitokea nimemuweka ndani halafu akapoteza sifa hii muhimu na kuanza kuleta "mazoea" basi ndoa itakufa kibudu chap pia.

Nasikia wanaume tunakufa mapema moja ya sababu ikiwa ni stress hasa za mapenzi. Binafsi kifo cha kibudu kama hicho nilishagoma kitambo sana. Nitakufa siku Mungu akiona aliyoniitia duniani nimeyatimiza lakini sio kufa kwa stress zisizo na kichwa wala miguu.

Hata hivyo siwashauri wanawake mjikabidhi kwa wanaume ambao hawana sifa hizi muhimu;
1. Upendo
2. Akili

Mwanaume akikosa sifa hizo hapo juu ndio wale mnaanzaga kuwaita "mbwa".

Hata hivyo neno langu sio sheria we ukitaka jilipue tu na yeyote anayepumua lakini usisumbue watu ukikumbana na matokeo ya maamuzi yako.

Nyege ni za kila mwenye afya njema ila Ndoa sio ya kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…