livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
[emoji2][emoji2][emoji2]me ndo nimeona hapa leo,,, ila wanawake tuna mambo ya ajabu sana kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio ubunifu [emoji108]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2]me ndo nimeona hapa leo,,, ila wanawake tuna mambo ya ajabu sana kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sawa ubunifu ndio sikatai,, ila ndo kufurahia mafuta tu😃😂😂😂😂Sio ubunifu [emoji108]
Kwahiyo wanapenda mafuta hawakupendi wewe? Great thinkers wa JF.....Hello hello JF!
👇👇👇
Katika hali ya kuduwaza na kufurahisha, kitambo sasa nashuhudia wanawake wanaokuja ghetto kwangu kwa kazi maalumu ya kitume na kimaombezi nimeona kuna jambo linawafurahisha sana hasa tu wakiona mafuta ya aina nyingi ya kupaka kwenye dressing table.
1.Lotion aina 4
2. Mafuta ya mgando aina 3
3. Mafuta ya nywele aina 3
4. Mafuta ya kupikia Sundrop na ya Singida.
5. Mafuta ya general usage
6. Asali lita 3 za nyuki kubwa na nyuki dogo dogo.
Nimetafakari sana sana naombeni mnisaidie kuna mahusiano yoyote Kati ya uwepo wa mafuta na furaha yao.
Naendelea kustaajabu baadhi wanasema Ila we kiboko umejipanga hivi hadi raha.
Karibuni kwa shuhuda zenu hasa maajabu ya wanawake kufurahia mafuta.
Nawasilisha.
🙏🙏🙏
Wadiz.
sawa ubunifu ndio sikatai,, ila ndo kufurahia mafuta tu[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, mkuu kwaio jamaa alikua anatumia getto lako, kitanda na godoro lako kutitundulia topeMiaka ya nyuma kipindi Cha ubachela Kuna mshkaji wangu alikua ananiazima ghetto Kila akitaka kuchepuka maana yeye alikua kashaoa, nikisafiri namuachia funguo... Sasa jamaa alikua Kila akija na Dem ananunua mafuta sijui Gani bana yameandikwa kiarabu, kwenye kikopo ni mengi kweli... Cha kushangaza mafuta yakawa yanabaki ila Kila akija analeta mapya... Siku nikamuuliza akacheka tu akaniambia ya massage mi nikapotezea
Kuna kipindi vikafika vikopo kama 8 afu vyote vina mafuta nusunusu, nimeviweka kwenye dressing table tu... Siku Kuna Dem kaja gheto akaniangalia sana afu kwa upole akaniambia "we mwanaume usije ukani**ra tu" nikashtuka nikamuuliza kwanini akasema "maana hua sikuelewi Kila nikija nakuta makopo ya haya mafuta ya kiarabu yanaongezeka tu"
[emoji28][emoji2][emoji2]
aisee me hamna ninachokijua😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Si pengine ubunifu huendana na vitendea kazi , kama vitendea kazi hamna utaanzaje kufurahia.
Anyway nyie mnalo jambo lenu hamtaki kutushirikisha
aisee me hamna ninachokijua[emoji23][emoji23]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Sishangai bandari zoote za Tanganyika kuuzwa
Khakhakhaaaa!!Sishangai bandari zoote za Tanganyika kuuzwa
sawa,, ngoja nianze research ntaleta mrejesho hapaJaribu kufanya utafiti , siku moja utufumbulie fumbo Mrembo [emoji108]
nje kidogo ya mada ivi siriasi ndio wapi uko ?Upo siriasi au unatania?