Wanawake wakija ghetto kwa kazi maalumu wakiona mafuta ya kila aina wanafurahia sana

Kwahiyo wanapenda mafuta hawakupendi wewe? Great thinkers wa JF.....
 
sawa ubunifu ndio sikatai,, ila ndo kufurahia mafuta tu[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]

Si pengine ubunifu huendana na vitendea kazi , kama vitendea kazi hamna utaanzaje kufurahia.
Anyway nyie mnalo jambo lenu hamtaki kutushirikisha
 
Hahaha, mkuu kwaio jamaa alikua anatumia getto lako, kitanda na godoro lako kutitundulia tope

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Si pengine ubunifu huendana na vitendea kazi , kama vitendea kazi hamna utaanzaje kufurahia.
Anyway nyie mnalo jambo lenu hamtaki kutushirikisha
aisee me hamna ninachokijua😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…