Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
We Jobless_BillionaireNdio hivyo. Itafikia stage watamchoka. Watamfukuza ili nae akajitegemee huko
Usichangie humu πππππππππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Jobless_BillionaireNdio hivyo. Itafikia stage watamchoka. Watamfukuza ili nae akajitegemee huko
Kosa langu nn mkuu? π€£π€£π€£ Hoja zangu hazina mashikoWe Jobless_Billionaire
Usichangie humu πππππππππππππππππ
Mkuu usinisingiziee. Najua unawacheka tu hao watuπππππππππππππππππππππ Wee jamaa basi bana
Mana navocheka huku naonekana nacheka watu wengine
ππππ Wee unaona upo sawa..Kosa langu nn mkuu? π€£π€£π€£ Hoja zangu hazina mashiko
πππππππMkuu usinisingiziee. Najua unawacheka tu hao watu
Natoa hoja kuntu kabisa. Na hii ndyo maana halisi ya home of glit sinkaππππ Wee unaona upo sawa..
Tangu ufike humu an vituko tuu khaaa
Dah nimeacha mkuuπππππππ
Navozidi kucheka na swaumu inabana zaidi mkuu
Alafu kwa jicho la nyama unaweza sema jamaa mentally upo vizuri.Natoa hoja kuntu kabisa. Na hii ndyo maana halisi ya home of glit sinka
dahππππsasa si waseme tu amewaoa woteYaan hapo kasheshe unaambiwa
ππππππππ
Wanasema jamaa ni janja janja sana
na ataondokaNdio hivyo. Itafikia stage watamchoka. Watamfukuza ili nae akajitegemee huko
Ha ha haaa hao jamaa wana dunia yao yaaani wameamua waishi watakavyo pasi kujali wataonekana vpDah.ila marekani Kuna vichwa.
Hapana kutokana na vyanzo vya habari... (Jobless_Billionaire )dahππππsasa si waseme tu amewaoa wote
Una msikiliza huyu jamaa na akili zake hizo ππππna ataondoka
Lazima aondoke. Sababu atakuwa anatoa siri za ndani kwa mashosti zake anaokutana nao saluni hukona ataondoka
Na hicho ndio kitakuwa chanzo cha mgogoro. Yaani mtu yupo kwa shemeji halafu anaanzisha vimahisiano vya nje. Tabia za kutoka usiku na kuchelewa kurudi zitamkwaza dada mtuHapana kutokana na vyanzo vya habari... (Jobless_Billionaire )
Inasemekana huyo mmoja yeye ana mahusiano na mtu mwingine hivyo ikawa ngumu. Kuolewa wote.
ππππππ
Kwa hiyo kama wana tupu moja ina maana mmoja hapati hisiaHapana wana kei moja.
Ila kila mmoja ana hisia tofauti.
naungana nae πππakifukuzws itabidi aondoke au na yeye akipata mchumba itabidi akaoleweUna msikiliza huyu jamaa na akili zake hizo ππππ
Mkuu mbona unanisigili tenaππUna msikiliza huyu jamaa na akili zake hizo ππππ