Pre GE2025 Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuna nchi ya kijinga sn, muda wote ipo kwenye kampeni, hizi fedha wangewachangia manesi waliopo pembezoni wanakesha na wagonjwa bila mapumziko
 
Tuna nchi ya kijinga sn, muda wote ipo kwenye kampeni, hizi fedha wangewachangia manesi waliopo pembezoni wanakesha na wagonjwa bila mapumziko
Wewe ndio mjinga,huu ni mwaka wa uchaguzi plus next year Sasa wewe unateseka na nini? Hujasikia Kauli ya Sultan wenu Mbowe akisema muanze mchakato? 😂😂
 
Kama fomu ni moja tu, michango ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…