Pre GE2025 Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu

Pre GE2025 Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.

Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.

Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.

View: https://www.instagram.com/p/C4Vbw6jPdGT/?igsh=MXg1ZG45cG9tam5xYg==

My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.

Tukutane Oktoba 2025.

Tuna nchi ya kijinga sn, muda wote ipo kwenye kampeni, hizi fedha wangewachangia manesi waliopo pembezoni wanakesha na wagonjwa bila mapumziko
 
Tuna nchi ya kijinga sn, muda wote ipo kwenye kampeni, hizi fedha wangewachangia manesi waliopo pembezoni wanakesha na wagonjwa bila mapumziko
Wewe ndio mjinga,huu ni mwaka wa uchaguzi plus next year Sasa wewe unateseka na nini? Hujasikia Kauli ya Sultan wenu Mbowe akisema muanze mchakato? 😂😂
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.

Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.

Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.

View: https://www.instagram.com/p/C4Vbw6jPdGT/?igsh=MXg1ZG45cG9tam5xYg==

My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.

Tukutane Oktoba 2025.

Kama fomu ni moja tu, michango ya nini?
 
Back
Top Bottom