Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Hii nchi watu hawana akili,wanazo za kuvukia barabara tu. Yaani unatoa maji kisimani na kwenda kumwaga Baharini.
Nani kawachawia hawa mama zetu? UNAMCHANGIA MTU ANAEVAA SAA YA MAMILION ,KWA SAA YAKE ANACHUKUA FORM KIBAO YAANI. PUMBAFU ZAO KABISA HAO WAMAMA.
MIlioni 120 za fomu.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.
Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.
Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.
=====
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kumwezesha Rais Dkt. Samia kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025 na kusisitiza kwamba fomu ya urais kwa mgombea wa CCM itakuwa moja pekee.
Fedha hizo zimechangwa wakati wa mkutano ulioandaliwa na wanawake kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto.
My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.
Tukutane Oktoba 2025.
Za kampeni hizoMIlioni 120 za fomu.
Kwani urais unauzwa shs ngapi huko CCM hadi zichangwe zote hizo?
Mnaonaje hizo zingetumika kununulia vofaatiba kwenye vituo vyetu vya afya vinavyosuasua?Za kampeni hizo
wa kwenye zahanati vijijini wanafanya kazi 24hrs mkuu, sisi wa vijijini tunajua magumu yao maana ndiyo madaktari na kila kitu
Milioni moja tu bila senti 😅😅🙏🙏 !Kwani fomu ya urais Ccm ni shilingi ngapi?
Ila dolari ndio hamuna. !Alizochangiwa leo ataenda kupendeza nazo za kampeni ataingia hapo hazina kujichotea.
Hii nchi mbona mihela imejaa kila kona ni yeye tu kwenda kukinga na kisado.
Kwani saa ya kifahari sh ngapi?MIlioni 120 za fomu.
Kwani urais unauzwa shs ngapi huko CCM hadi zichangwe zote hizo?
dalili, ishara na viashiria vyote vinaonyesha kwamba, jumuiya za wanawake, vyama vya kiraia, makundi maalum naWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.
Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.
Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.
=====
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kumwezesha Rais Dkt. Samia kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025 na kusisitiza kwamba fomu ya urais kwa mgombea wa CCM itakuwa moja pekee.
Fedha hizo zimechangwa wakati wa mkutano ulioandaliwa na wanawake kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto.
My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.
Tukutane Oktoba 2025.
Nyingine mkamchimbie choo Lucas Mwashambwa anajisaidia vichakaniMda ukifika fomu itajazwa na tutamsindikiza,saizi ni maandalizi tuu
Am 27. Siku nikiwa Rais nitatunga sheria ya kufuta hadhi ya Urais kwa Marais wote waliopata nafasi ya kuongoza na kuishia kuzurura na kutapeli wananchi. Huyu anayechangiwa ya fomu na wajinga nitamfuta siku hiyo hiyoWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.
Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.
Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.
=====
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kumwezesha Rais Dkt. Samia kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025 na kusisitiza kwamba fomu ya urais kwa mgombea wa CCM itakuwa moja pekee.
Fedha hizo zimechangwa wakati wa mkutano ulioandaliwa na wanawake kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto.
My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.
Tukutane Oktoba 2025.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.
Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.
Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.
=====
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kumwezesha Rais Dkt. Samia kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025 na kusisitiza kwamba fomu ya urais kwa mgombea wa CCM itakuwa moja pekee.
Fedha hizo zimechangwa wakati wa mkutano ulioandaliwa na wanawake kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto.
My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.
Tukutane CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Lazima kuna fukuto la chini kwa chini !Mbona wamewahi sana. Ninaliona tatizo kwa waliohusika
Safi sana,sioni wa kushindana na mama nje ya chama wala ndani