Wanawake wamefanikiwa kuwaaminisha wanaume kuwa Ngono ni Raha ya Mwanaume tu, wao hawapati chochote

Wanawake wamefanikiwa kuwaaminisha wanaume kuwa Ngono ni Raha ya Mwanaume tu, wao hawapati chochote

Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo.

Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume.

Mwanamke hupata raha kuanzia mwanzo hadi mwisho wa tendo lakini mwanaume hupata raha pekee anapofika kileleni.

Na Vijana wengi wameingia kwenye huu mtego, unahasooo weee, Unapata hela, unaenda kukutana na mwanamke na hela yote unabakisha huko.

Kwani yeye utamu aloupata, anakulipia nini?

Haujawahi kukutana na mwanamke akakuambia hajawahi kupata raha kama uliyompa wewe? Kwanini yeye pia asikulipe?

Ndio Sababu Mashangazi, huwajengea nyumba na hata biashara wanaume wanaowaridhisha kwelikweli.

Niseme tu, UKIONA Demu anahusianisha mbususu yake na Pesa yako huyo ni chuma ulete.

Acheni kudeti mademu wenye njaa ambao kukupa mbususu atakuambia 'Nakuletea lakini Mimi nina shida ya laki Moja, kama huna niambie kabisa".

Hudumia Kwa mapenzi yako, Mpe Hela Kwa mapenzi yako, Mpe Kwa sababu ni Mpenzi wako Kwa maana ya kwamba, hata ukiwa huna Hela Kwa wakati huo, akuelewe huna na mbususu akupe Kwa sababu wote Mnapata utamu.


Tanga kuna wimbo wa taarabu unasema ; “ mkuna na mkunwaji muona raha ni nani? 😛😍😘
 
Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo.

Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume.

Mwanamke hupata raha kuanzia mwanzo hadi mwisho wa tendo lakini mwanaume hupata raha pekee anapofika kileleni.

Na Vijana wengi wameingia kwenye huu mtego, unahasooo weee, Unapata hela, unaenda kukutana na mwanamke na hela yote unabakisha huko.

Kwani yeye utamu aloupata, anakulipia nini?

Haujawahi kukutana na mwanamke akakuambia hajawahi kupata raha kama uliyompa wewe? Kwanini yeye pia asikulipe?

Ndio Sababu Mashangazi, huwajengea nyumba na hata biashara wanaume wanaowaridhisha kwelikweli.

Niseme tu, UKIONA Demu anahusianisha mbususu yake na Pesa yako huyo ni chuma ulete.

Acheni kudeti mademu wenye njaa ambao kukupa mbususu atakuambia 'Nakuletea lakini Mimi nina shida ya laki Moja, kama huna niambie kabisa".

Hudumia Kwa mapenzi yako, Mpe Hela Kwa mapenzi yako, Mpe Kwa sababu ni Mpenzi wako Kwa maana ya kwamba, hata ukiwa huna Hela Kwa wakati huo, akuelewe huna na mbususu akupe Kwa sababu wote Mnapata utamu.


Pia inafanana na zana potofu ya kusema “nimemzalia m(wa)toto”

Kwanini wewe mwanamke useme umemzalia
Mwanaume mtoto?
Mmezaa mtoto wenu au umemzalia mtoto wake?

Ni hila ya kutaka kuona kama vile amemfanyia jambo la hisani Mwanaume wakati ukute hata wakati wa kubeba hiyo mimba Mwanaume ha kuulizwa kabla iwapo anaridhia au la.
 
Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo.

Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume.

Mwanamke hupata raha kuanzia mwanzo hadi mwisho wa tendo lakini mwanaume hupata raha pekee anapofika kileleni.

Na Vijana wengi wameingia kwenye huu mtego, unahasooo weee, Unapata hela, unaenda kukutana na mwanamke na hela yote unabakisha huko.

Kwani yeye utamu aloupata, anakulipia nini?

Haujawahi kukutana na mwanamke akakuambia hajawahi kupata raha kama uliyompa wewe? Kwanini yeye pia asikulipe?

Ndio Sababu Mashangazi, huwajengea nyumba na hata biashara wanaume wanaowaridhisha kwelikweli.

Niseme tu, UKIONA Demu anahusianisha mbususu yake na Pesa yako huyo ni chuma ulete.

Acheni kudeti mademu wenye njaa ambao kukupa mbususu atakuambia 'Nakuletea lakini Mimi nina shida ya laki Moja, kama huna niambie kabisa".

Hudumia Kwa mapenzi yako, Mpe Hela Kwa mapenzi yako, Mpe Kwa sababu ni Mpenzi wako Kwa maana ya kwamba, hata ukiwa huna Hela Kwa wakati huo, akuelewe huna na mbususu akupe Kwa sababu wote Mnapata utamu.
Na usipoomba mzigo kwa muda utaona vituko! Siku ya siku akilipuka utasikia "...kwanza hujanishika mwezi sasa! Lazima una mchepuko.."
Hawa viumbe kazi wanaume tunayo!
💭🤔😔
 
Msaada tutani..hivi mwanamke wa bukoba akisema nataka unipige maji huwa anamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom