Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

Mwanaum
Mwanaume mwenzangu km alikuwa hayupo nyumbani,basi hiyo fedha aliyo pewa huyo Delilah karudia vitu vyote vya ndani,pengine kaacha godoro tu na kusepa.

Maana kwa kiburi chake katimuliwa,kwenye bus nako katimuliwa. Sijui kwao atapokelewa?
 
Sawaa, na kama sikoseni, pia unamanisha hio inaweza ikawa ni hali ya kuja na kupita, kwahio yeyote ukamkuta katika moment kama hio tunaweza jumuisha ana matatizo ya akili.
Nakuelewesha tena kuhusu Afya ya Akili,
Kama ilivyo kwenye Mwili, unachoka, unapata vihoma homa unapona, ila kuna magonjwa mengine yanakua makubwa na kupelekea kifo kama Kansa, Figo, n.k

Basi na Akili ni hivyo hivyo, kuna muda unaweza ukasongwa na jambo ukapata mawazo (stress) ukatetereka ukakosa usingizi vizuri, ila ukimalizana na hilo jambo unarudi kua sawa mfn, kuandaa research huku unakimbizana na deadline,

Kuna muda unakua na mambo zaidi ya moja, stress ya kazi, mapenzi, familia, biashara, n.k hii inaitwa msongo wa mawazo (depression) sasa kwa kua ni muunganiko wa vitu vingi hata kuondoka kwake itachukua muda, lakini pia isipoondoka kwa haraka itazalisha ugonjwa wa akili na hata kifo,

Kwa hiyo yes, tatizo la Afya ya Akili linamkumba kila mtu, litakuchukua vipi hiyo inatokana na ukubwa wa tatizo na uharaka wa kupata tiba.
 
Maisha yana mengi sana, huenda anapitia mengi magumu yanayohitaji msaada. Japo pia sio sawa kutukana wapi hovyo hata kama una matatizo binafsi.

Ila watu wanapitia magumu me gi, kiuchumi, kiafya, kimahusiano na kijamii.
Nakazia hapa
 
Ukiona mtu wa hivyo jua anakumbwa na mengi Sana Kwenye maisha yake,ikiwemo ugumu wa maisha yenyewe
 
Shida ya akili wapi mbona kaona pesa kiranga chote kimemuisha.Inshort alitaka apigwe apate advantage ya kulipwa bahati nzuri Mzee akashtukia mchezo[emoji1787]
 
amakweli rizki ya mbwa i miguuni mwake! yaani mwanamke kapata kibunda kimasihara masihara tu
 
Huenda kuna jambo gumu kuhusu mahusiano. Mtaani kwetu kuna mdada ni single-mother. Anao watoto wake kadhaa, aisee! Zimefyatuka kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mbna vitukooo lol
 
afu wakiwaga kwenye usafiri ndo wanakuwa wehu kabisa sijui huwa ni kwanini,huwa natamani kununua ugomvi

Kuna mmoja aliwah mung'ata kijana kisa kakatalia kwenye siti yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu nachekaa hadi machozii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…