Wanawake wanajua ni muda gani sahihi wa kumshinda Mwanaume

Ila kwanini wao ni zaidi?
Kwao imeonekana kuwa Mara nyingi huwaacha waume zao katika nyakati zao ngumu. Why?

Sababu kubwa ni visasi.
Wanawake ni viumbe waliojawa na Kisasi.

Mkiwa kwenye neema wengi hunyanyasa, hutoa lugha chafu na hufanya matendo yasiyo ya haki kwa wenza wao.
Inafikia hatua Mwanamke anaomba dua usifanikiwi ili naye afurahi
 

πŸ˜‚πŸ˜‚
Haiwezikani mtu unamfanyia mambo ya ajabu alafu ati awe submissive kwako. Hata kwaakili ya kawaida hilo haliwezekani.

Lakini kuna wanaume wengi wajinga wanaona ni kawaida
 
Mama nani alisema eti tangia hizi kelele za wanawake wanawake ziwe nyingiii, matatizo ndio yameongezeka zaidi. Nikapigaaa 'hiiii' na masingo mama wanaongezeka zaidi kila siku. Hapa dadake ni singo mama, anti yake kaachika miaka karibu 20 na huko....mamake mjane.....yeye mdomo mrefu mnooo.....u knw wat? She is pleasing now for the mistakes she did last year. Hii sio ya kuchekesha. Hii ni live feed natoa hapa. Kumbe watibeli ni kama wacuba tu, akili mingi mnoo.....kama kobe taratibu sheria mkononi hapana. Akili mtu wangu. Kataa ndoaaa kwa ustawi wako na jamii kiujumla
 
Sawa dada kwa taarifa
 

Hatari sana
 
NI wakati ambao unaugua zako kisukari unahitaji chakula bora halafu mwanamke anakuambia wako wapi malaya zako........ duuuuh mke wangu moyoni mwako ndo uko hivyo????
 
Kaaa kwenye nafasi yako vyema wala hutochokaa na wanawake zaidi sana utawafurahia.
 
NI wakati ambao unaugua zako kisukari unahitaji chakula bora halafu mwanamke anakuambia wako wapi malaya zako........ duuuuh mke wangu moyoni mwako ndo uko hivyo????
Eeeeh kama unamtendea mambo mabaya ndo yupo hivyo moyoni😁😁😁
 
Eti wanaitangwa "malkia wa nguvu"
 
Nakuunga mkono Curtiz
 
Ni maamuzi tuu au unasababishwa ya msingi?
Nimeoa lakin nichokuja kugundua ni kuwa "Ndoa" kwa maana yake na kusudio lake ni njema, na nilioa Kadri ya mapokeo ya wazee na desturi ya jamii. Lakin kwa Karne hii ya kumpandishwa kwa mwanamke kumepelekea mwanaume kupoteza either mamlaka au nafsi yake asilia matokeo yake ndoa imepoteza maana yake na kuwa kama taasisi ya kitapeli, ambapo imepelekea ss wanaume kupungua maisha yetu ya furaha na aman ya kwel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…