Wanawake wanajua ni muda gani sahihi wa kumshinda Mwanaume

nimekuuelewa..... ngoja nianze kumtongoza upya kabisa.....yaani kuna sindano za tiba hapo...asante mkuu... vijana someni muelewe.......hiyo ndio FASIHI....
 
Na Uzuri kuoa sio lazima kwahiyo na akijifanya tricks master atapigwa matukio atakaa pale na uzee wake anyway KATAA NDOAAAπŸ˜†
 
Kula like
 
Hujamuelewa jamaa ndio maana umeshindwa kuidhoofisha hoja yake, umemtaja hadi Gwajima na wanaume wa kizungu means jamaa kakuwin sana kwa hoja yake. Maana umeshindwa kustick kwenye angle moja
Omba msaada kwa mates wenzio Nione kama unaweza kuipangua hoja ya mwamba hapo.
 
Bila shaka wewe ni kimada au mfuasi wa Gwajima ndiyo maana umekasirika. Sina msaada kwako.
 
Bila shaka wewe ni kimada au mfuasi wa Gwajima ndiyo maana umekasirika. Sina msaada kwako.
Tazama ID yako kwanza kisha urudi na vichambo vingine hapa.
Hebu tutolee vilemba hapa jukwaani jenga hoja kama unaweza.
Kaakili kenyewe kameleft kitambo tu halafu unasema unipe msaada?
 
Tazama ID yako kwanza kisha urudi na vichambo vingine hapa.
Hebu tutolee vilemba hapa jukwaani jenga hoja kama unaweza.
Kaakili kenyewe kameleft kitambo tu halafu unasema unipe msaada?
You followers of Gwajima have significant issues because he has succeeded in drawing all your minds, leaving you believing solely in misukule na uchawi. Athari za kukorogwa akili zimejidhihirisha kwenye maandiko yako. Sina msaada!
 
You followers of Gwajima have significant issues because he has succeeded in drawing all your minds, leaving you believing solely in misukule na uchawi. Athari za kukorogwa akili zimejidhihirisha kwenye maandiko yako. Sina msaada!
Masikini anawaza misaada muda wote,
Kaa kwa kutulia ndina wewe.
Kasaidie ndugu zako kwanza we punguani.
 
Masikini anawaza misaada muda wote,
Kaa kwa kutulia ndina wewe.
Kasaidie ndugu zako kwanza we punguani.
Haa msukule wa Gwajima! Unataka msaada gani? Nenda kwa Gwajima mkarekodi clip nyingineπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Haa msukule wa Gwajima! Unataka msaada gani? Nenda kwa Gwajima mkarekodi clip nyingineπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Unanikonyeza tena duuh isije kuwa napoteza nafasi ya kujitwaalia pisi kali
Oya njoo pm we dada tuyajenge.
 
Unanikonyeza tena duuh isije kuwa napoteza nafasi ya kujitwaalia pisi kali
Oya njoo pm we dada tuyajenge.
In Tanzania, one of the foolish cultural norms is the belief that if you address someone as a woman, you're considered smart, while the person being addressed is looked down upon. This is a deeply ingrained and narrow-minded tradition, highlighting the limited mindset of individuals like you! Gwajima ana kazi kwelikweli ya kufundisha misukule yake.
 
Reactions: Cyb
Mkuu mimi sijakudharau, by the way tunachat tu nothing personal. Yaan kwenye huu uzi tutatukanana sana but kwenye uzi mwingine tutakuwa sidemates, ndio lengo la mijadala kama hii.
Take it easy mi nahitaji tu kufahamu gender yako.
 
Ila we jamaa Robert Heriel Mtibeli kwenye huu uzi wako umemsifia sana mwanamke na kumbeza sana mwanaume.

Kwa lugha nyingine, umemwinua sana mke wako huku ukijitweza wewe mwenyewe. Nikuulize swali; wewe unamwamini mkeo kwamba hataweza kuufanyia haya uliyoyaandika hapa? Hata MC Pilipili alikuwa na mtazamo kama wako, ila yaliyomkuta anayajua mwenyewe na leo hana hamu na hao viumbe.

Mwanamke hata umsifieje, umpambe sana na umtendee kila jema, kama hana shukrani hana tu.
 
Umesema ukweli kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Japo kuna watu husamehe na huwatunza waume zao vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…