Wanawake wanakusubiri kwenye finish line



you will found????


Hizi shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ma-SIMP wa jamii forum umewaamulia,dawa ziwakolee kweli kweli.
Mafemenist kama Jadda wakipita nyuzi kama hizi lazima wakunje uso
 
Hit and Run ndio habari ya maana..

Usiwekeze hisia kwa Ke wala usiruhusu yeye awekeze kwako.. ni vyema wote mkikaa mjue mpo ktk status gani.. kwamba hapa ni show tu na si kwa ajili kuwekeza hisia.
Kuna wanaume bado hawataki kuelewa kwamba kwa sasa tupo kwenye kizazi cha mapenzi ya kuviziana, kila mmoja anakaa kitaalamu, atakaeingia kwenye mfumo wa mwenzake anapigwa uppercut, mchezo umeisha. These men are in love while women are in business.
 
Eti?
 

👍
 
The past of woman matters as much as the future of a man matters.

The value of woman is in her past.
The value of a man is in his future.

Women have much to lose.
Men have much to gain.

Femininity is preserved.
Masculinity is built.
 
Sasa siku nyingine ndio uanzishe uzi kuwaambia wanaume wenzio kwamba wakipata wanawake waliokubali kuwavumilia kwenye race, basi wakifika kwenye finish line wasiwaache siyo kila siku unaanzisha nyuzi za kutukana wanawake tu ilihali wakati mwingine tatizo liko upande wenu, hilo haliwasaidii na hamuwakomoi wanawake maana siku hizi wako tayari kwa lolote lile mtakaloamua hawajali tena
 
Nitaandika uzi wa topic ninayoitaka mimi, kama unataka uzi wenye topic unayoitaka wewe basi andika uzi wako.
 
Hakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke ambae amemvumilia na kumshika mkono ktk magumu.

Unakuta mwanaume hujajipata ila una mwanamke ambae anakuwa jeuri, mdangaji, n.k kisha ukijipata ndo anaanza kuwa humble kwako, hii haikubaliki.
 
Hakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke ambae amemvumilia na kumshika mkono ktk magumu.

Unakuta mwanaume hujajipata ila una mwanamke ambae anakuwa jeuri, mdangaji, n.k kisha ukijipata ndo anaanza kuwa humble kwako, hii haikubaliki.
Wanawake wanapokubali kuingia kwenye mahusiano wanafikiri kwamba wanatufanyia favor wanaume ndio maana hata kama mwanamke hana output yoyote katika mafanikio ya mwanaume bado anafikiri ana haki ya kunufaika na hayo mafanikio kwa sababu tu alikua around kipindi mwanaune unajitafuta.

Kuwa around pekee haitoshi kujipa uhalali wa kujipa haki ya kuwa mnufaika, uhalali wa kunufaika unatokana na mchango wa uyo mwanamke. Mwanamke alileta nini mezani, alileta connection?, alileta network?, alileta pesa? alichangia ujuzi?

Sasa wanawake kwa sababu tu kuanzia hapo kwenye starting line mpaka finish line wao walikua wanaprovide sex tu ndio wanajipa haki ya mnufaika, wakati huduma ya sex mwanaume anaweza kwenda kununua hata kwa kahaba.
 
Mwanangu nimekutumia M-PESA 10000
na kam weekend upo DSM nichek
tuna BEACH PART babu kubwa la kukata na mundu ni wewe tu kuja na pamba kali unyunyu wa maaana
Mademu utawakuta wa kumwaga
Ni muda wa kutafuna mbususu tu sasa
 
Nitaandika uzi wa topic ninayoitaka mimi, kama unataka uzi wenye topic unayoitaka wewe basi andika uzi wako.
Kungwi vipi bana mbona unapanic tatizo siyo wewe kuandika au kutokuandika nilichokuambia, ila tatizo ni ukiendelea kuandika nyuzi za kutukana wanawake tu unafanya kazi bure, kwanza hata wewe mwenyewe si umeona jinsi wengi walivyokupa za uso kwenye comments na wengi ni wanaume wenzio wakati wewe ulitarajia watakuunga mkono masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…