Wanawake wanamidomo michafu sana

Ila wanawake wanasemwa sana jmn daah[emoji28][emoji28][emoji28]! Ivi ina maana wanaume hawakosei au ndo desturi zenu tu wanawake kuvumilia na kukaa na vitu moyon??? believe me or not yaan ukifatilia threads nying umu ndan wanawake ndo wanasemwa vibaya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ivi ni kwel wanawake hawana jema jmn[emoji48][emoji48][emoji48]afu hawahawa utakuta wanajifanya kusema nan kama mama.........nataman itokee kila jinsia ipewe sayari yake ili tuone itakuaje![emoji40][emoji40][emoji40]
 
Mwanamke ameanza kusemwa toka enzi za adam na hawa wala hatuwaonei
 
Pole sana
 
Kwani wako na wanaume wengine mnayo misafi? Acha uzwazwa wa mujumuisho nyambaff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…