Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Jeep wrangler

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
524
Reaction score
1,093
Habari wanajukwaa.
Huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi lakini hili limekuwa gumu nisaidieni

Kama nilivyoandika hapo juu:
Yangu nikiwa ndogo wanawake wadogo Kwa wakubwa wamekuwa wakivutiwa kufanya ngono NAMI

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.

Umri ulikuwa ndogo kati ya miaka 9 Hadi 10.

1. Nilipokuwa sekondari hali ilikuwa ni mbaya zaidi, wasichana walipigana waziwazi tena darasani Kila wiki, hapa Mimi hata sikuwajali kwani nilishazoea hali hiyo kutokea kwangu

2. Chuo nilisoma nje ya Tz, hali hiyo haikuniacha salama pia.

2. Uraiani sasa usiseme, niki date na dada mtu na dada zake wote wananitaka.

3. Ofisini ikitokea natembea na binti wa ofisi flani, wenzake wakijua nao wanaunga tela kunisaka kwa gharama zao

Note: Kipindi Cha nyuma waliponitaka nilijizuia sana na kuwa mkali kuwaepuka but sasa...

Nimeona ni ujinga ninawafyeka kama Sina akili nzuri, nimechanganya mafaili Hadi sio poa.

1...nimepima nimechoka na kwenye kupima nilikuta wawili tayari wameungua ndio maana lazima nipime na mpira nivae

2...Kinga nimetumia nahisi kukinai.

Kibaya zaidi usipokazania Kinga wako tayari pekupeku...
Nisaidieni nisaidieni niwachukie na wanichukie Hawa viumbe wazuri watamu.

Kuna siku nimekula mara 3.

Wenu Jeep wrangler kwasasa Kigoma
 
🤣 Tangazo limekaa vyema sana, ila humu utaambulia Yutiyai tu...
Hivi mtu unaweka tangazo ili wanawake wakufuate kweli?

Sidhani, nahisi anamaanisha alichoandika, ila huenda ni ulimbukeni wa kutokujua kuwa wanaume wengi tunasumbuliwa hivyo hivyo.

Hata mimi mwanzo nilikuwa nawahurumia, baadae nikagundua hawana msaada nikawa nawakazia tu.
 
Back
Top Bottom