Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Sicheki tena na Wanawake hawana tofauti na nyoka wenye vichwa 7 mwilini na kila kichwa ni Medusa

- Grandma Take Me Home (GTMH)
 
"...wanawake wananigombania sana..."
20241031_143522.jpg
 
Kaka wewe unapepo aminikuns
Habari wanajukwaa.
Huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi lakini hili limekuwa gumu nisaidieni

Kama nilivyoandika hapo juu:
Yangu nikiwa ndogo wanawake wadogo Kwa wakubwa wamekuwa wakivutiwa kufanya ngono NAMI

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.

Umri ulikuwa ndogo kati ya miaka 9 Hadi 10.

1. Nilipokuwa sekondari hali ilikuwa ni mbaya zaidi, wasichana walipigana waziwazi tena darasani Kila wiki, hapa Mimi hata sikuwajali kwani nilishazoea hali hiyo kutokea kwangu

2. Chuo nilisoma nje ya Tz, hali hiyo haikuniacha salama pia.

2. Uraiani sasa usiseme, niki date na dada mtu na dada zake wote wananitaka.

3. Ofisini ikitokea natembea na binti wa ofisi flani, wenzake wakijua nao wanaunga tela kunisaka kwa gharama zao

Note: Kipindi Cha nyuma waliponitaka nilijizuia sana na kuwa mkali kuwaepuka but sasa...

Nimeona ni ujinga ninawafyeka kama Sina akili nzuri, nimechanganya mafaili Hadi sio poa.

1...nimepima nimechoka na kwenye kupima nilikuta wawili tayari wameungua ndio maana lazima nipime na mpira nivae

2...Kinga nimetumia nahisi kukinai.

Kibaya zaidi usipokazania Kinga wako tayari pekupeku...
Nisaidieni nisaidieni niwachukie na wanichukie Hawa viumbe wazuri watamu.

Kuna siku nimekula mara 3.

Wenu Jeep wrangler kwasasa Kigoma
 
Habari wanajukwaa.
Huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi lakini hili limekuwa gumu nisaidieni

Kama nilivyoandika hapo juu:
Yangu nikiwa ndogo wanawake wadogo Kwa wakubwa wamekuwa wakivutiwa kufanya ngono NAMI

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.

Umri ulikuwa ndogo kati ya miaka 9 Hadi 10.

1. Nilipokuwa sekondari hali ilikuwa ni mbaya zaidi, wasichana walipigana waziwazi tena darasani Kila wiki, hapa Mimi hata sikuwajali kwani nilishazoea hali hiyo kutokea kwangu

2. Chuo nilisoma nje ya Tz, hali hiyo haikuniacha salama pia.

2. Uraiani sasa usiseme, niki date na dada mtu na dada zake wote wananitaka.

3. Ofisini ikitokea natembea na binti wa ofisi flani, wenzake wakijua nao wanaunga tela kunisaka kwa gharama zao

Note: Kipindi Cha nyuma waliponitaka nilijizuia sana na kuwa mkali kuwaepuka but sasa...

Nimeona ni ujinga ninawafyeka kama Sina akili nzuri, nimechanganya mafaili Hadi sio poa.

1...nimepima nimechoka na kwenye kupima nilikuta wawili tayari wameungua ndio maana lazima nipime na mpira nivae

2...Kinga nimetumia nahisi kukinai.

Kibaya zaidi usipokazania Kinga wako tayari pekupeku...
Nisaidieni nisaidieni niwachukie na wanichukie Hawa viumbe wazuri watamu.

Kuna siku nimekula mara 3.

Wenu Jeep wrangler kwasasa Kigoma
Baba yako akifa na utajiri unaotumia ukaisha utaanza kuilaumu ccm kwa maisha magumu.

Endelea mzee pesa ni zako.
sisi wahenga tumeona mengi. Wapo vijana walitindua sana zaidi yako na hawakuwahi kufikiria ipo siku pesa na mali walizonazo kama zitaisha.

Saaa hivi wanaomb hadi buku ya vocha.

USitudanganye kwamba huwahongi......Big No.
 
Yaani Hadi hapa nomewakataa wengi mnoo.

Najua nitatoka katika hili huenda kuanzia Leo
Ninaandika huku nahisi kuumia mnoo.

Kila nikimaliza kukulanmzigo roho inanisuta.
Kama kweli unajutia kutoka moyoni basi Mungu atakusaidia utatoka, jitahidi pia coz it all starts with you...
 
Yaani Hadi hapa nomewakataa wengi mnoo.

Najua nitatoka katika hili huenda kuanzia Leo
Ninaandika huku nahisi kuumia mnoo.

Kila nikimaliza kukulanmzigo roho inanisuta.
Kuna Masai tulikaa nao Mwananyamala kumbe bwana Wale Wahaya wakamgundua anamwaga pesa.......Walikuwa wanapeana zamu kuja getoni Mwake.....yeye akawa anajiona mjanja kumbe Mtaa mzima wanamuona mjinga tu Masai yule.

Pesa yoote ya Kuuza Ugoro ikaisha akarudi Umasaini akauza ng'ombe hadi wa Mke wake. Bosi alikokuwa analinda akamfukuza.
 
Wakishapiga vinjunga huwaambii kitu
Hahaha.....tunasubiri akifiriska atakavyo kuja kulaumu ccm eti maisha magumu.

Vijana kama hawa tumewaona wengi sana na wengine sasa hivi ni wazee wanasubiri Kulaani watoto wao eti hawawasaidii
 
Yaani umekuwa dhaifu kiasi kikubwa hivyo ??
Are possed with evil spirits??

Imeandikwa; “Wenye maono hujizuia na uovu ili wasiwngamizweili Wakashindwa kuyafikia maono yao.

Sasa nikikusoma mtu kama wewe naweza kuona kabisa ni mtu wa aina gani.
Tubu , mrejee Mungu wako kama unae.
Geuka sasa, mgeukie Mungu na kutubu.
Epuka sifa za kijinga.
 
Habari wanajukwaa.
Huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi lakini hili limekuwa gumu nisaidieni

Kama nilivyoandika hapo juu:
Yangu nikiwa ndogo wanawake wadogo Kwa wakubwa wamekuwa wakivutiwa kufanya ngono NAMI

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.

Umri ulikuwa ndogo kati ya miaka 9 Hadi 10.

1. Nilipokuwa sekondari hali ilikuwa ni mbaya zaidi, wasichana walipigana waziwazi tena darasani Kila wiki, hapa Mimi hata sikuwajali kwani nilishazoea hali hiyo kutokea kwangu

2. Chuo nilisoma nje ya Tz, hali hiyo haikuniacha salama pia.

2. Uraiani sasa usiseme, niki date na dada mtu na dada zake wote wananitaka.

3. Ofisini ikitokea natembea na binti wa ofisi flani, wenzake wakijua nao wanaunga tela kunisaka kwa gharama zao

Note: Kipindi Cha nyuma waliponitaka nilijizuia sana na kuwa mkali kuwaepuka but sasa...

Nimeona ni ujinga ninawafyeka kama Sina akili nzuri, nimechanganya mafaili Hadi sio poa.

1...nimepima nimechoka na kwenye kupima nilikuta wawili tayari wameungua ndio maana lazima nipime na mpira nivae

2...Kinga nimetumia nahisi kukinai.

Kibaya zaidi usipokazania Kinga wako tayari pekupeku...
Nisaidieni nisaidieni niwachukie na wanichukie Hawa viumbe wazuri watamu.

Kuna siku nimekula mara 3.

Wenu Jeep wrangler kwasasa Kigoma

We jamaa umenikumbusha rafiki wa jamaa yangu enzi hizo.Ilikuwa hivi.Jamaa wazazi wake walifariki wote.bibi akahisi kwamba jamaa tapata msoto wa kukosa msaada wa kuwomeahwa alichofanya alimfanyia dawa ya mvuto,ili akiomba msaada wowote popote iwe rahisi kusaidiwa.kwahiyo ilikuwa akiomba msaada anasaidiwa kirahisi hivi.Jamaa alipokuwa mkubwa mkubwa hiyo fursa akaigeuzia kwa wanawake Ilikuwa akisalimiana na msichana kwa kumshika mkono tu basi ,msicha yoyote yule narudia yoyote yule (ISIPOKUWA wale waliokuwa wana Yesu ndani yao,maana hao wanakuwa wamekombelewa tayari).alikuwa anakubalia chochote jamaa anachoomba.Ilienda hivyo siku zilipokuwa zinazidi hali ilikuwa mbaya mpaka ikawa kero kwa jamaa.Bibi yake alikuwa ameshakufa.Alikuja akapata tatizo la sehemu zake za siri kuathirika vibaya nadhani pia lazima mwisho wake utakuwa haukuwa mzuri maana sijui aliishia wapi.sababu ni miaka mingi sana imepita wala huwezi kuwa wewe.
 
Back
Top Bottom