Dasvidaniya
Senior Member
- Sep 17, 2024
- 194
- 671
Bruh achana na hao wanawake before it's too late vinginevyo tunakuandalia jeneza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅"...wanawake wananigombania sana..."
View attachment 3161516
Ni njaa tu🤣🤣🤣 Ninjaa
Sio UTI tu, ni UTI sugu ambayo mpaka wadunge power safe za kutosha🤣 Tangazo limekaa vyema sana, ila humu utaambulia Yutiyai tu...
Sura ngumu kabisaKama wanakupenda ina maana una sura nzuri. Na mimi natomba watu wenye sura nzuri awe wa kike au wa kiume
AminaToka pepo uliemshika kijana wetu.
Mkuu Mimi nikifungua mdomo tu Kila demu anasema Mimi mtu mwema sana, sijui kwanini.We jamaa umenikumbusha rafiki wa jamaa yangu enzi hizo.Ilikuwa hivi.Jamaa wazazi wake walifariki wote.bibi akahisi kwamba jamaa tapata msoto wa kukosa msaada wa kuwomeahwa alichofanya alimfanyia dawa ya mvuto,ili akiomba msaada wowote popote iwe rahisi kusaidiwa.kwahiyo ilikuwa akiomba msaada anasaidiwa kirahisi hivi.Jamaa alipokuwa mkubwa mkubwa hiyo fursa akaigeuzia kwa wanawake Ilikuwa akisalimiana na msichana kwa kumshika mkono tu basi ,msicha yoyote yule narudia yoyote yule (ISIPOKUWA wale waliokuwa wana Yesu ndani yao,maana hao wanakuwa wamekombelewa tayari).alikuwa anakubalia chochote jamaa anachoomba.Ilienda hivyo siku zilipokuwa zinazidi hali ilikuwa mbaya mpaka ikawa kero kwa jamaa.Bibi yake alikuwa ameshakufa.Alikuja akapata tatizo la sehemu zake za siri kuathirika vibaya nadhani pia lazima mwisho wake utakuwa haukuwa mzuri maana sijui aliishia wapi.sababu ni miaka mingi sana imepita wala huwezi kuwa wewe.
Bado sanaBaltazar [emoji102]
Tangazo limekaa kimkakati sana tumwache kijana ajibrandMpaji Mungu njoo utoe ushauri huku
😀Eeh bana power safe ni kikombe kigumu sana kukiepuka kwa hivi vitoto vya buku 2! Nilijichanganya mahali ikabidi nianze kudungwa maana nilihisi kama figo zimeanza kufeli. Vichomi vya ajabu chini ya mbavu alma nusura niandike wosia kabisa nikaambiwa kijana cheza na jaba la maji kila baada ya sindano kupigwa.🤣Sio UTI tu, ni UTI sugu ambayo mpaka wadunge power safe za kutosha
Atamtoa nishai tu
UTI ya watoto wa 2000 ni noma hiyo mpaka upone cha moto unakua umekiona😀Eeh bana power safe ni kikombe kigumu sana kukiepuka kwa hivi vitoto vya buku 2! Nilijichanganya mahali ikabidi nianze kudungwa maana nilihisi kama figo zimeanza kufeli. Vichomi vya ajabu chini ya mbavu alma nusura niandike wosia kabisa nikaambiwa kijana cheza na jaba la maji kila baada ya sindano kupigwa.🤣