Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.
🤣Nachoka mimi😥😥
 
We jamaa umenikumbusha rafiki wa jamaa yangu enzi hizo.Ilikuwa hivi.Jamaa wazazi wake walifariki wote.bibi akahisi kwamba jamaa tapata msoto wa kukosa msaada wa kuwomeahwa alichofanya alimfanyia dawa ya mvuto,ili akiomba msaada wowote popote iwe rahisi kusaidiwa.kwahiyo ilikuwa akiomba msaada anasaidiwa kirahisi hivi.Jamaa alipokuwa mkubwa mkubwa hiyo fursa akaigeuzia kwa wanawake Ilikuwa akisalimiana na msichana kwa kumshika mkono tu basi ,msicha yoyote yule narudia yoyote yule (ISIPOKUWA wale waliokuwa wana Yesu ndani yao,maana hao wanakuwa wamekombelewa tayari).alikuwa anakubalia chochote jamaa anachoomba.Ilienda hivyo siku zilipokuwa zinazidi hali ilikuwa mbaya mpaka ikawa kero kwa jamaa.Bibi yake alikuwa ameshakufa.Alikuja akapata tatizo la sehemu zake za siri kuathirika vibaya nadhani pia lazima mwisho wake utakuwa haukuwa mzuri maana sijui aliishia wapi.sababu ni miaka mingi sana imepita wala huwezi kuwa wewe.
Mkuu Mimi nikifungua mdomo tu Kila demu anasema Mimi mtu mwema sana, sijui kwanini.
Neno Moja tu linalegeza vyupi vyao
 
Waambie kwanza mods wakubadilishie taito isomeke ''Wauza sukari wananigombania, nisaidieni..." kisha ndipo tukushauri sasa bwa'mdogo. 😎

-Kaveli-
 
Sio UTI tu, ni UTI sugu ambayo mpaka wadunge power safe za kutosha
😀Eeh bana power safe ni kikombe kigumu sana kukiepuka kwa hivi vitoto vya buku 2! Nilijichanganya mahali ikabidi nianze kudungwa maana nilihisi kama figo zimeanza kufeli. Vichomi vya ajabu chini ya mbavu alma nusura niandike wosia kabisa nikaambiwa kijana cheza na jaba la maji kila baada ya sindano kupigwa.🤣
 
😀Eeh bana power safe ni kikombe kigumu sana kukiepuka kwa hivi vitoto vya buku 2! Nilijichanganya mahali ikabidi nianze kudungwa maana nilihisi kama figo zimeanza kufeli. Vichomi vya ajabu chini ya mbavu alma nusura niandike wosia kabisa nikaambiwa kijana cheza na jaba la maji kila baada ya sindano kupigwa.🤣
UTI ya watoto wa 2000 ni noma hiyo mpaka upone cha moto unakua umekiona
 
Back
Top Bottom