Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
- Thread starter
- #21
Sawahii ni hadithi bandia ya kijingajinga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawahii ni hadithi bandia ya kijingajinga tu
Almost 7 yrs nilikuwa ngangari baadae nikaona ujingaKuwa na msimamo wewe kama wewe
Jifunze kusema Hapana(No)
Kwa nini sasa umechelewa kukua kichwani?Mkuu Mimi mzee mwenzio 35 hii
Dah chagua Njia sahihi MkuuAlmost 7 yrs nilikuwa ngangari baadae nikaona ujinga
Kanda ya ziwa lakini sio muhayaBila shaka wewe ni MUHAYA
Mrembo najihisi vibaya mnoo.Mbona kama unaona ni sifa nzuri vile ,hujisikii vibaya, shauri yako
This is jf uko huru kuanini loloteHadithi Njoo uongo Njoo utamu kolea
Halafu ulishawahi kuniuzia gari weweBila shaka wewe ni MUHAYA
Hapana ninachagua sanaKama ni jamii ya wakina chiku wewe endelea nao tu
Khee 🙌🏾🙌🏾Siwatanii wakuu nahisi kunuka nyapu Kwa kuzitafuna, natamani Mungu anisamehe na kunisaidia, Leo nimeamua kumsuta shetani
Nyie wote mademu. Mwanaume hawezi kuja andika huu ujinga. Wewe ni bwabwah.Habari wanajukwaa.
Huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi lakini hili limekuwa gumu nisaidieni
Kama nilivyoandika hapo juu:
Yangu nikiwa ndogo wanawake wadogo Kwa wakubwa wamekuwa wakivutiwa kufanya ngono NAMI
Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.
Umri ulikuwa ndogo kati ya miaka 9 Hadi 10.
1. Nilipokuwa sekondari hali ilikuwa ni mbaya zaidi, wasichana walipigana waziwazi tena darasani Kila wiki, hapa Mimi hata sikuwajali kwani nilishazoea hali hiyo kutokea kwangu
2. Chuo nilisoma nje ya Tz, hali hiyo haikuniacha salama pia.
2. Uraiani sasa usiseme, niki date na dada mtu na dada zake wote wananitaka.
3. Ofisini ikitokea natembea na binti wa ofisi flani, wenzake wakijua nao wanaunga tela kunisaka kwa gharama zao
Note: Kipindi Cha nyuma waliponitaka nilijizuia sana na kuwa mkali kuwaepuka but sasa...
Nimeona ni ujinga ninawafyeka kama Sina akili nzuri, nimechanganya mafaili Hadi sio poa.
1...nimepima nimechoka na kwenye kupima nilikuta wawili tayari wameungua ndio maana lazima nipime na mpira nivae
2...Kinga nimetumia nahisi kukinai.
Kibaya zaidi usipokazania Kinga wako tayari pekupeku...
Nisaidieni nisaidieni niwachukie na wanichukie Hawa viumbe wazuri watamu.
Kuna siku nimekula mara 3.
Wenu Jeep wrangler kwasasa Kigoma
Chagua mmoja tulia naye wengine kataa usiwe rahisi kama maharage ya Mbeya bana, mbususu zisikuendesheMrembo najihisi vibaya mnoo.
Uzinzi ni utumwa mbaya sana.
Hadi sasa nilisha confuse feeling zangu.
Sijui nampenda nani.