Wanawake Wanaobadili Jinsia katika Magereza ya Marekani waamriwa kuhamishiwa Magereza ya Wanaume

Trump anapiga kila kona,ameanza na suala la talaka,sasa yupo na wafungwa wanawake wanaobadili jinsia,najua suala la wahamiaji haramu na mashoga atakuja na sheria kali. Ivi mm ni me, je naweza badili jinsia na kuwa ke niwe napigwa miti? Inawezekana?
kinyaaa, ptuuuu
 
Sasa kama wamebadili jinsia wamekua wanaume, wanataka waendelee kukaa na Wanawake ? Ili wawe wanawapiga miti
 
Iyo safi wakakutane na wanaume Og waone moto
 
Wanawake Wanaobadili Jinsia katika Magereza ya Marekani waamriwa kuhamishiwa Magereza ya Wanaume
Dah,
Hao madume wa mchongo kwenye picha wanaonekana mademu warembo tu.

Watakuwa wanasubiriwa kwa hamu sana na madume halisi huko.

Watakoma, mwana kulitafuta mwana kulipata. Trump amejua kuupiga mwingi ili kukomesha huo utapeli.

Ngoja wakakutane na wabakaji huko, watapigwa pipe hadi waite maji mmma!
 
Hii iko poa sana. Umeumbwa akike... wewe umetamani akiume na ukajibadili it means umekuwa mwanamume. Utaingia choo cha kiume, utakaa magereza ya kiume, na utafanya kila afanyalo mwanamume sasa kelele za nini. Watutuchosheeee. Utavuna ulichopanda.... si uliona wanaume wanafyaudu eeee
 
Kwangu naona Trump yupo sahihi sana AISEE,,


Kama mwanaume alibadili jinsia awe mwanamke,,hiyo ni baada ya kuona wanawake wanafaidi sana dudu,,
Sasa waende huko Kwa wanaume wakafaidi vzr ,,

Mtoto kauta,,mtoto kauta,,
🎡🎡🎀🎀🎻🎸 Huyo mtoto huyo..
 
lisu hapana ungesemea late JPM, alikuwa anapiga vita sana mashoga,mwanafunzi akipewa mimba,akijifungua arud shule,ufisadi lisu hana lolote zaidi ya kubwabwaja t
Magufuli aliwahi lini kukemea ushoga, usagaji kwa ukali? Kama anavyofanya Trump?
Ninavyokumbuka labda Makonda alijitutumua kukemea, serikali ya Magufuli kupitia waziri ikamruka kwa kusema huo sio msimamo wa serikali!!
 
Atabakwa vipi na yeye huku mbele ni mwanaume...?
Ukiacha kuwa uume Anakuwa na vitu vingi vya kike kama maziwa, shape na ulaini wa mwanamke hali hiyo ni kama umempeleka mwanamke jela ya wanaume, watabakwa sana
 
Wewe nawe ficha ujinga wako. Kwahiyo hao wanachofanya ni sahihi na sasa wanaonewa. Kila kitu kina consequence zake haya moja ya athari ni hizo wapambane
adhabu zina kiwango na mipaka huwezi kuhalalusha ubakaji kama adhabu ,tumia akili kidogo
 
Wengine wanayo bandia ila wengine hawana shimo lipo pale pale kma una mfahamu chokuu yule kafanya upasuaji wa maziwa ila yeye mwanaume now ana maziwa ila sio kama ya mwanamke yake katikati kuna uwazi mkubwa
Ni upasuaji ama anakunywa dawa za homoni za kujaza matiti
 
Yuko sahihi kabisa huyu Mzee.
 
wataliwa tu huko mpaka warudi kwenye asili yao uanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…